Business Opportunity kuwa ISP Mikoani na Wilayani

send me info please. [/quote]


[SIZE=3]Mkuu Calvin Power;[/SIZE]
[SIZE=3][/SIZE]
[SIZE=3]Information has already been sent to you.[/SIZE]
[SIZE=3][/SIZE]
[SIZE=3]Just for information, if anyone is serious on this kind of business, there are various alternative of modalities of investment including sharing the investment costs.[/SIZE]
[SIZE=3][/SIZE]
[SIZE=3]All you need is to come up with a brief and good plan particular for marketing.[/SIZE]
[SIZE=3][/SIZE]
[SIZE=3]Also, on the pipeline is the Government Universal Access Fund which might subsidize some investment cases where there is no strong business case.[/SIZE]
 
Mkuu;

Huu ni mchakato wa kuifanya nchi yetu ifikike kwa mfumo wa ICT na kwa hakika kwa wale walio serious ni biashara makini sana.

Tuko tayari kusaidiana.
poa mtu wangu i believe this plan will work i promise to be one among watu watakaoshiriki kuderiva hivo service nipo mbeya
 
Habari njema hii. Nipo kwenye Cybercafe business na ningeoenda ku upgrade to ISP, please ningependa kupata more info, tuwasiliane via bmkunyi{at}gmail{dot}com
 
I m very much interesting on this, I would like to know better. Please send to me also edmeenda{at}yahoo{dot}com
 
Wakuu wote;

Nashukuru kwa posts zenu na hata wale walio ni PM.

Niko safarini lakini nitawaomba wahusika wawatumie info ASAP.

Nimeambiwa na vijana kuwa wameshamaliza internal tests na Tarehe 27th July 2009, DSM itakuwa live kwenye Submarine Fiber Backbone. Hii ni kwa wale wote ambao ni Existing Customers
 
Nafasi ya Biashara Kwa Walioko Mikoani na Wilayani
  • Je unao ujuzi wa ICT na hasa katika mambo ya Connectivity na uko mikoani au wilayani?

  • Je unayo Interest ya kufanya biashara ya kuwa na ISP (Internet Service Provider) katika eneo husika?

  • Je uko tayari kupata mafunzo juu ya Products na Solutions na kufanya Marketing na Sales?

  • Je uko tayari Ku-Invest katika Basic Infrastructure za ISP huko mikoani?

  • Je unaweza kupata wateja wa kuanzia kati ya 20-50? Mmoja moja au kampuni?

  • Je uko tayari kupata mapato (Kuingiza Pesa) kila mwezi itokanayo na malipo ya Bandwidth na hivyo kujiingizia mapato ya uhakika kutoka kwa wateja wako? Pia utauza Equipment kwa Wateja kwa faida.

Kama jibu lako ni ndiyo, basi ni PM nitakutumia email yangu ili unitumie company profile yako au business proposal.

Kampuni utakayofanya nayo partnership mchango ufuatao:

  • Mafunzo ya Products na Solutions (Technical and Sales)

  • Itakusaidia ku-Setup Infrastructures za ISP Mikoani au Wilayani.

  • Itakuuzia Equipment kwa bei ya chini kabisa ya Partners

  • Itakupa Bandwidth kuendana na mahitaji ya wateja yako na na utalipia kila mwezi.

Products na Solutions za Kuuza:

  • Internet kupitia Technology ya VSAT

  • Internet Kupitia Technology ya Wireless

  • Mobile Internet Kupitia Technology ya CDMA

  • Video Conferencing

  • TV/Radio Broadcasting Solutions

  • Voice Over IP

  • Data Solutions kupitia VSAT na Internet

  • Kwa sehemu zinazofikika na Fiber - Internet Kupitia Submarine Optic Fiber ya SEACOM Kuanzia Mwezi July/August 2009.

  • Digital Radio Calls Communication Systems (TETRA)

kama utakuwa Interested basi ni PM nitakutumie email yangu ili unitumie company profile yako au business proposal. Baada ya hapo nitakutumia Partnership Business Proposal.
Mkuu naona hii imekaa powaa sana na ni empowerment initiatives nzurii mnooo..

hebu nitumie info zote through neec{at}uwezeshaji{dot}go{dot}tz tuone kama ofisi how we can support the move in terms of dissemination to the public.

hata ikiwezekana kuwapatia mikoa (wadau wa mikoani na wilayani) elimu kuhusu how to join the business na umuhimu wake...

safiii
 
poa mtu wangu i believe this plan will work i promise to be one among watu watakaoshiriki kuderiva hivo service nipo mbeya

Mkuu;

Kwa sasa jamaa hawana ISP yoyote Mbeya. So that will be a golden opportunity.
 
Mkuu naona hii imekaa powaa sana na ni empowerment initiatives nzurii mnooo..

hebu nitumie info zote through tuone kama ofisi how we can support the move in terms of dissemination to the public.

hata ikiwezekana kuwapatia mikoa (wadau wa mikoani na wilayani) elimu kuhusu how to join the business na umuhimu wake...

safiii[/quote]

Mkuu; info zimeshatumwa.

Hii imekaa vizuri. Hakika yawezekana kubuniwa very simple and affordable business model ya kuwawezesha wengi. Mkuu Wasiliana.
 
hi there am new here. well naomaba unitumie infomation nipo kagera. email yangu ni songoro07at yahoo. com
 
Back
Top Bottom