mr vata
JF-Expert Member
- Jan 30, 2017
- 462
- 605
Fungua biashara zinazojisimamia huku ukiendelea na kazi...
Mfano wa biashara hizo ni kama bajaji au boda boda. Kama una mil 20 unaweza kununua hata bajaji ndio nzr ukilinganisha na boda ambazo huwa na risk kubwa. Tafuta bajaj used ambazo zimetumika mwaka mmoja na bei zake huwa ni kati ya mil 4/4.5
Hesabu ni elfu 20 kwa siku.
Hii ni biashara nzur kwa mtu anaefanya kazi kwa sbb haihitaji muda wako mwingi kuifuatilia zaidi ya kuzipeleka service kila mwisho wa wiki. Kwa mtaji wako unaweza kupata bajaj nne na chenchi ikabaki kwa ajili ya service na vibali. Unazitumia mwaka mmoja halafu unaziuza na kununua nyingine.
N.B kama utaamua kufanya biashara hii siku ya kununua ni lazima uwe na fundi.
Mfano wa biashara hizo ni kama bajaji au boda boda. Kama una mil 20 unaweza kununua hata bajaji ndio nzr ukilinganisha na boda ambazo huwa na risk kubwa. Tafuta bajaj used ambazo zimetumika mwaka mmoja na bei zake huwa ni kati ya mil 4/4.5
Hesabu ni elfu 20 kwa siku.
Hii ni biashara nzur kwa mtu anaefanya kazi kwa sbb haihitaji muda wako mwingi kuifuatilia zaidi ya kuzipeleka service kila mwisho wa wiki. Kwa mtaji wako unaweza kupata bajaj nne na chenchi ikabaki kwa ajili ya service na vibali. Unazitumia mwaka mmoja halafu unaziuza na kununua nyingine.
N.B kama utaamua kufanya biashara hii siku ya kununua ni lazima uwe na fundi.