Business ideas (Bure)

Jig nzen kubet msimu unaanza soon kwa iyopesa nimtaji mkubwa mnooo ukiitumia vizr bila pupa kwa wiki utakua na m2. Ukitumia pupa usishangae kubaki na Salio 0

Sent from my TECNO-W3 using JamiiForums mobile app
 
Jig nzen kubet msimu unaanza soon kwa iyopesa nimtaji mkubwa mnooo ukiitumia vizr bila pupa kwa wiki utakua na m2. Ukitumia pupa usishangae kubaki na Salio 0

Sent from my TECNO-W3 using JamiiForums mobile app
Wew fundi kwan wa kubet kuna jamaa akaliwa pesa mingi sana

Sent from my TECNO-J8 using JamiiForums mobile app
 
Uzi chanya. Big up wachangiaji

I am your Professional Logo Designer :: Reload your Image. Get a Logo :: +255 688 999 006 (calls, texts & whatsapp)
 
SHUK
Wakuu nimekuwa nikifuatilia JF kwa muda mrefu sana, tangu enzi hizo inaitwa JamboForums mpaka JamiiForums. Nimeona watu wengi walivyo na muamko wa biashara ili kuongeza kipato sababu mishara ya kazini haitoshi. Lakini kikubwa nimeona watu wanavyoumiza kichwa kujua nini wafanye, wengi wamekuwa waigizaji au copycat. Kwenye biashara kuna watu wa aina tatu Innovator, imitator and ------, hivyo try to be innovator.

Ok enough of blah blah. Mpango wangu katika post hii ni kuainisha biashara 6 ambazo mtaji wake ni less than 10,000USD exclude a working capital.

1. Food Processing and Packaging: (The truth ni kwamba agro product zetu hazipo kwenye mashelf ya supermarket za dar sababu the packaging sucks. Nilinunua bottle ya mbilimbi pickles, yaani product is taste lakini the package ni aibu. Biashara yoyote inayohusu chakula una potential ya kuikuza at least by 15% annual. Food ambazo unaweza process includes Maharage, mahindi mabichi, samaki, njegere, mchicha na nyingine nyingi. Sio lazima kutengeneza pilipili everybody is doing it.


2. Maize and Rice Milling: Najua hapa wote mtasema oooh Azam na Jogoo wameshika soko, guess what kuna at least 20% ya market share ambayo ni nobody territory. Unachotakiwa ni kujitofautisha (Differentiation Strategy) na Azam na Jogoo.

Here is how:

(a) Kiwango (Quality), hakuna atake nunua unga wako kama ukikaa ndani unaoza,

(b) Urahisishaji (convenience) hapa sio kwenye price bali kwenye packaging, funga katika ujazo wa 1/2KG, 1KG, 2KG, 5KG na 10KG. Zama za mizani zimekwisha.

(c) Bei shindani (competitive price), kumbuka zama za kulopoka kwamba kilo 1,000 zimekwisha. Have all the facts behind your numbers, jua gharama za uzalishaji (Direct Cost & Indirect Cost), pricing is an art sio kulopokwa tuu sababu everybody is selling 1,000 basi na wewe 1,000.


3. Quick Car Wash,Tire Repair, Oil and Lubes: Kila mtu anaona magari yanavyongezeka Tanzania, the good news ni kwamba this is nothing in the next 10 years idadi will double. Means kwamba opportunity and opportunity for entrepreneur. Nimeita quick sababu quickness ndio inakutofautisha na wachaga walio na sehemu hizi.

Kumbuka we are not trying to bring new business into the market we're either changing the process or improve the service that's it. So, hapa unaitaji air compressor ya mid size, hydraulics car jack za ukweli sio vile vijeki mshenzi ambavyo lazima utumie msuli. Remember quickness here at least 10 minutes mtu hayupo.


4. Bakery, fast food restaurant and Pizza Place: Tanzania sasa imeamka jamani sio miaka ya 1980s ambapo watu walikuwa wananua maandazi ya kufunga na gazeti, watu sasa wanataka good product, well packed and delicious. Cha muhimu hapa ni location, ukienda kufungua hii venture kigogo huko au kwetu kimanga am sorry no one will recognize it.

Angalia location and target "middle income consumer" wanaojifunga tai na michuchumio ( facebook/twitter generation). Hapa pia kumbuka quickness is a key, watu wanajaribu kuishinda foleni, so no one will give you 20mins umfungie maandazi.


5. Mobile entertainment: Hapa kama una ujuzi wa kuwaza unaweza kutengeneza pesa mpaka basi. Over 20% ya Watanzania ni watoto 12years and younger. Means kwa dar tuu wapo watoto zaidi ya laki 6. Kila mdada anajaribu biashara ya kuleta bounce house kwenye birthday za watoto, that is so 1960s. Watoto wa siku hizi wapo 9 hours ahead, fikiria outside the box. Kumbuka hi St. Majanga zote zilizojaa dar ukiwa na good mobile entertainment idea you will partner with all of them. This is pure money...

6. Mobile Fast Food Restaurant: Wenyewe mnaona jinsi KFC au subway zinavyojaza au container pale morocco, lakini hawa wote ni "brick and mortar" hawewezi kuwafata wateja posta, coco beach. Wewe unafanya mapinduzi, kumbuka business is always about revolution if you evolve yatakupata ya Blackberry.

Kama una idea nyingine weka hapa, zama za kuamini kwamba idea yako watu wataichukua is nonsense, sababu wewe unaijua idea yako kushinda mtu mwingine. Kama mimi all those 6 are my ideas. Let soko liwe jaji.

Mungu akijalia wakati mwingine nitaandika tumia social media to make miracle in your business. Na hapa you will see how facebook, twitter, blogs can make revolution for your business. Remember we do not bring anything new in the market, we are either change, process au improve service.
SHUKRANI MKUU KWA MCHANGO MUBASHARA
 
Samahani wakuu eti ukitaka kuagiza mzigo mtandaoni kutoka HONG KONG hd huku TZ gharama zake zinakuwaje kwa mwenye kujua msaada
Mzigo wenyew ni [Heat press machine]

Sent from my TECNO-J5 using JamiiForums mobile app
 
Samahani wakuu eti ukitaka kuagiza mzigo mtandaoni kutoka HONG KONG hd huku TZ gharama zake zinakuwaje kwa mwenye kujua msaada
Mzigo wenyew ni [Heat press machine]

Sent from my TECNO-J5 using JamiiForums mobile app
Gharama kubwa zipo TRA, utalipa VAT and custom tax
 
Mimi ni kijana niliyehitimu elimu yangu ya juu 2016 UDSM katika kukabiliana na changamoto za kutafuta kazi nimekamwa
Hivo basi nimeamua nijiajiri mwenyewe kwa kufanya biashara na nimeweza kupata mtaji wa Tsh 20 mil kwa dungu jamaa na marafiki . Je ni biashara gani naweza kufanya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uko wapi, kama huna idea kama wekeza kwenye idea za watu then unachukua hisa. Faida inayopatikana mnagawana. Kama uko tayari na hilo nishtue tufanye kazi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom