Buseresere: Mapigano makali yaibuka kati ya waislamu na wakristu!

Status
Not open for further replies.
Kesho utasikia salamu za rambirambi kwenda kwa wahusika! Ndugu yangu kama mabango ya waganga wa kienyeji mjini Dar na mikoani yamengongomelewa kwenye nguzo za umeme na siku za wkend wateja wakuu ni haohao wakubwa usitarajie akili ya kutatua kero za raia. Religion is a fatal bomb.
 

nakuhakikishia hakuna mama ntilie anaeuza kitimoto bila kuweka bango.
 
ha ha haa sijui nikwambiaje kwanza nikuulize unajua maana ya islam chunguza kwanza ujue maana yake ndio ulinganishe na huo mwaka ulioandika kwanza Yesu (issa) hakuleta ukristo nitafutie andiko lolote kwenye biblia kwamba yesu ameleta ukristo

maandiko yako mengi lakini hata nikikuwekea hautaamini, utaanza kuleta sababu nyingine nyingi tu. hadi msahafu unautambua ukristo sembuse biblia? si zaidi sasa? jitahidi ufaham maana ya ukristo mkubwa.

kabla hujapewa aya toka kwenye biblia, soma kwanza hii

SURA 2. SURA AL- BAQARA 62. Hakika Walio amini, na Mayahudi na Wakristo, na Wasabai; yeyote atakaye
muamini Mwenyezi Mungu na Siku ya Mwisho na akatenda mema basi watapata malipwa
yao kwa Mola wao Mlezi, wala haitakuwa khofu juu yao, wala hawatahuzunika.


 
ha ha haa sijui nikwambiaje kwanza nikuulize unajua maana ya islam chunguza kwanza ujue maana yake ndio ulinganishe na huo mwaka ulioandika kwanza Yesu (issa) hakuleta ukristo nitafutie andiko lolote kwenye biblia kwamba yesu ameleta ukristo

kwa mujibu ya dini yako YESU ni nabii wa 23 na muhammad wa 24, yaani wa mwisho. Je uwislam na ukristo upi ulianza ikiwa YESU alikuja kuukomoboa ulimwengu baada ya anguko la adamu na muhammad kueneza dini yaani kupinga kile alicholeta YESU na manabii waliomtangulia.
 
Hivi tumefikia hatua hii ya kuchinjana sisi kwa sisi badala ya wanyama?.

Binafsi siamini kama hawa ni watanzania,yawezekana ni wavamivi kutika nje waliopitia kwenye ngongo wa dini ili kueneza machafuko.

Ipo haja sasa kwa serikali kupitia mchakato wa vitambulisho vya taifa kuwabaini mara moja wale wote ambao si raia wake na kuwapeleka kunakostahili.

Mbali na hivyo vurugu hizi yawezekana ni muendelezo wa fitina juu ya siasa kupitia dini,hii ni hatari sana ndugu zangu kwa sisi kama watanzania wenye nia njema na mapenzi mema kwa nchi yetu.

Sote ebu tuiombe serikali kukaa pamoja na viongozi wa dini na hatimaye kutoka na mwafaka wa kadhia hii ambao si kwamba inawadhililisha watanzania bali inawadhalilisha viongozi wa dini na serikali.
 
Serikali dhaifu inatupeleka kuzimu sasa.
Sawa sawa mkuu
naona baada ya kukatazwa ng'ombe wameamua kumchinja mchungaji hahaha
waislam bana ndio maana marekani na nchi za magharibi hawataki kusikia
kabisa hii kitu, waislam wa huko ulaya ni majina tuu ila hawana
itikadi.
 
Vile vyobo vya habari vilivyokuja na taarifa kwamba mgogoro wa kidini kanda ya ziwa umeisha baada ya wasira kuteta na viongozi wa dini walitaka kutufurahisha,kutudhalilisha,kujipendekeza(kwa wananchi na viongozi) au udhaifu walionao katika kutuletea habari zilizofanyiwa uchunguzi yakinifu
 
jamani nimesema kati ya walioenda kununua nyama pale wengine wachoma mishikaki na mama ntilie ambao wanahudumia public,sasa hapa wapi huelewi?

Kwani lazima ukale kwa huyo mama ntilie? Embu waislam tuache UJINGA, Kwa hili tunazidi kutia Aibu na tunaendelea kuonekana wa ajabu.
 
kabla ya uchaguz yalisemwa udini wakapinga kwa nguvu zote yametokea na hata watoa matangazo nao wanahucka ila kwa vile wao ni watawala kimya
 
Ni kama ambavyo waislamu wangenunua nyama ya ibada yao wakaenda kuchoma mishikaki na kuuza mahotelini.

kwahiyo leo ndo mmejua mlikua mkila nyama kinyume na mafundisho yenu?.
Anyway,hulazimishwi ila ukitaka kufanya biashara ya nyamafu hakikisha hata kwenye mahoteli inapoenda unaweka tangazo ili wasiokula nyamafu wasije kununua sawa.maana usipofanya hivo na wakagundua umewalisha nyamafu lazima pataleta shida
 

Halafu kuna hizi nyama za polini kama swala ambazo uwindaji wake ni kwa bunduki, kule kwetu kijijini tunawinda kwa mkuki!
 
Ewe mwenyezmungu tuepushe na vurugu zisizo na ulazima tuketi pamoja tuzungumze yale yote na tuyatatue...
 

shida ndo iko hapo,maana hiyo NYAMA haiishii machinjion,jaman hata ulaya kuna mzozo wa nyma za faras,
muislam kula nyama isiyochinjwa na muislam ni kharam mutlakha,
na hata huyo alochinjwa na muislam lazima awe amechinjwa kwa misingi maalum
 
Inabidi tuwe makini sana na hizi Redio na Televisheni za madhehebu ya dini kwani nazo zinachochea sana vurugu hii.

kwa hatua tuliyofikia ndg.hakuna haja ya kuwa na hivi vituo kwa upande mwingine wa sarafu,hakuna msimamizi kabisa wa vyombo vya habari labda kama unaandika mambo ya kisiasa ndiyo utafuatiliwa mno lakini mengine ongea uwezavyo,tukana dini nyingine uwezavyo wasimamizi wameuchapa usingizi wa pono lakini mpaka kesho hawatastuka mpaka wasikie kituo fulani cha tv/radia kimechomwa ndiyo uwasikie hapo watakwambia wanayafungia magazeti ata ambayo hayajawahi kuandika aina yoyote ya uchochezi,TUMUOMBENI SANA MUNGU ATUPE BUSARA AMBAYO SI TU KWAMBA INATAKA KUPOTEA BALI ISHAPOTEA SIKU NYINGI.
 
Huu moto ulioanza hauwezi kuzimwa kwa wingi wa askari na mitutu ya bunduki. Kama walidhani sisi hatuna akili basi waelewe kuwa tunazo. Mkristo m1 akiuawa wajiandae kuchinjwa w3. Kanisa 1 likibomolewa wajiandae kujenga misikiti kumi.

Yale ya kupigwa shafu unageuza la 2 yamepitwa na wakati. Yesu mwenyewe alipoona wabishi aliwachapa wakiwa hekaluni!

Genekai!
 

hivi unajua ni kwanini UYAHUDI HAUUTAJI UKRISTO WALA HAWAMTAJI YESU.
Kwanini ukristo unautaja uyahudi lakini hautaji uislamu.
Na kwanini Uislamu imeutaja uyahudi na ukristo na manabii wake.
 

Mimi sitaki hata kusikia masuala ya viongozi,kwa sababu hawa ndio chanzo cha mambo haya yote,wamekuw wakicheka tu watu wanapoto maonyo,hili la Buselesele na Katoro sio la kwanza lilianza tangu mapema mwezi wa kwanza,lakini Ma DC,wa pande zote mbuili na RC wamekuwa wakicheka tu,na cha ajabu sasa leo Mkuu wa wilaya ya Chato Lodrick Mpogoro amewapiga marufuku wananchi kuzungumza na vyombo vya habari pamoja na mashirika mbalimbali zikiwemo asasi za kiraia eti mpaka kamati ya ulinzi na usalama ya wilaya na Mkoa zikae na kujadili vurugu hizo,sasa huyu mtu huyu unadhani yuko sawa kweli?!
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…