SUPER PREDATOR
JF-Expert Member
- Apr 29, 2014
- 2,093
- 725
Baada ya mwakyembe kuona kila anapomsema vibaya kwenye mikutano yake ya kampeni mgombea urais wa ukawa kupitia chadema mh. lowassa amekuwa akizomewa, sasa ameacha kabisa matusi kwa ukawa na ameanza kujikita kwenye kumwaga Sera, wadadisi wa siasa za kyela na mkoa mzima wa mbeya wanasema hali hiyo huenda pia ikawa imechangiwa na ukimya wa professor mwandosya ambaye anakubalika sana hapa mkoani mbeya. Kuna kila dalili kuwa huenda jimbo la kyela likaangukia chadema endapo prof. Mwandosya hataingilia kati na kumsaidia mwakyembe.