Busara za Selemani Msindi aka Afande Sele

Naona watu wanacomment kwahasira sana. Kwani selemani ndiye amewaambia muanze kula ada za watoto wenu?

Kwa nin huyu mbona hahusiki kabisa.waliaonza kuujua music zama za Diamond na Ali kiba huyu hawamuelewi anachoimba.ila kwa mtu anayemjua huyu kwa mashairi yake akaangalie shindano la mkali wa Rhymes labda na ule wimbo wa mtazamo ambao walikutana vichwa 3.ukitoa hizo bange anazovuta huko akitunga shairi ujumbe unakuwa mzito
 
Kwa nin huyu mbona hahusiki kabisa.waliaonza kuujua music zama za Diamond na Ali kiba huyu hawamuelewi anachoimba.ila kwa mtu anayemjua huyu kwa mashairi yake akaangalie shindano la mkali wa Rhymes labda na ule wimbo wa mtazamo ambao walikutana vichwa 3.ukitoa hizo bange anazovuta huko akitunga shairi ujumbe unakuwa mzito
Namuelewa sana. Ila tatzo sio bangi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom