Naona watu wanacomment kwahasira sana. Kwani selemani ndiye amewaambia muanze kula ada za watoto wenu?
Ungeujuaje ukristo kama mzungu asingekuja kutawala??
Na ungeujuaje uislam kama mwarabu asingekuja kufanya biashara??
Take care mtanzania..AFANDE SELE~ DINI
"Sele na salehe hatuwapendi wile na charle wakati tunafanana rangi ya ngozi mpaka nywele" Afande sele~Dini
Namuelewa sana. Ila tatzo sio bangi.Kwa nin huyu mbona hahusiki kabisa.waliaonza kuujua music zama za Diamond na Ali kiba huyu hawamuelewi anachoimba.ila kwa mtu anayemjua huyu kwa mashairi yake akaangalie shindano la mkali wa Rhymes labda na ule wimbo wa mtazamo ambao walikutana vichwa 3.ukitoa hizo bange anazovuta huko akitunga shairi ujumbe unakuwa mzito