Bomoa bomoa ya Kinondoni ilikuwa ni kuwakomesha wananchi kwa kuchagua UKAWA , ule ulikuwa ni unyama na uhalifu dhidi ya binadamu.
Kuhusu machinga , pamoja na kwamba tamko lilihusu Mwanza lakini Tayari Kariakoo madereva wote wamekwama baada ya machinga kurudi kwa kishindo na kuanza tena kusonga ugali katikati ya barabara ya msimbazi .