Bus la Maning nice linanyanyasa abiria

reporting time saa saba ya usiku.
 
Biashara huria ndio madhara yake shetani amewatangulia.Sehemu Ambazo zinagusa jamii ya Hali ya chini Serikali iweke mikono yake mfano: Shule zinafungwa watoto kurudi makwao wasafirishwe na Serikali kama ilivyokuwa zamani Hata kama wazazi wanachangia usafiri lakini nauli ilipwe shuleni,shule itafute bus,mabinti wanateseka stendi
 
Miaka yote wakati wa likizo nauli hupanda mara dufu, couz wanajua wanafunzi wengi wanasafiri, aaaaah.

Makondakta wote sio wa bus au daladala n hovyo, sitasahau nilivyotukanwa matusi kisa naul 400, hapo nlkua nimeibiwa km 70k bila kujua, wakat huo nipo advance, namshukuru yule kaka alinisaidia kunilipia, nataman sana nikutane nae nimrudishie fadhira zake.
 
Mimi kama mpita njia nilijaribu kupiga picha tiketi ya huyo mwanafunzi na kuituma kwa trafiki kibaha na pia kutoa taarifa kwa afisa wa LATRA Morogoro 0738 000 054

Sent from my SM-N920S using JamiiForums mobile app
Kama unazo namba za huyo mwanafunzi naomba nipatie niwasiliane nae, nataka niangalie namna yakumnunulia godoro lingine.

Kama abiria mliokuwepo kwenye hilo basi sijaelewa mlishindwaje kumsaidia huyo mwanafunzi mpaka bus likaondoka na gorodoro ni aibu kwenu, ila nikupogeze kufanya hicho ulichoweza kufanya.
 
Nimejikuta nimepata hasira sana.
Navyojijua ningekua kwenye hilo bus kama abiria lazima huyo mwanafunzi angekabidhwa hilo godoro lake vizuri tu either kwa kumlipia au kwa njia nyingine yoyote ambayo ningeona inafaa kwa wakati huo.
 
Nimejikuta nimepata hasira sana.
Navyojijua ningekua kwenye hilo bus kama abiria lazima huyo mwanafunzi angekabidhwa hilo godoro lake vizuri tu either kwa kumlipia au kwa njia nyingine yoyote ambayo ningeona inafaa kwa wakati huo.
Inaumiza sana mwanafunzi ameachwa apambane mwenyewe wakati bus lina abiria wamekaa
 
Bei ya elfu kumi kwa ilo godoro ni sahihi labda tu uyu mwanafunzi akuambiwa bei mapema.
jamani godoro la mwanafunzi la futi 3 inch 3
hawa Manning ni washamba sana kwenye root za Dar - Arusha au Dar - Dodoma hawawezi toa tiketi ya kishamba namna hiyo
Haina namba ya Bus /namba ya usajiri wa Gari
kwa hiyo itasumbua ufuatiliaji labda huyu Binti awahi madai yake
LATRA iingilie kati kwa wanafunzi kuhusu mizigo km sanduku hata liwe la chuma na godoro visilipiwe (Kisheria ni nusu nauli sema hakuna sehemu km hiyo siku hizi kwa wanafunzi)
betina tupe mrejesho kuna mafaniko kweli?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…