Burundi hatarini kurudi vitani

Burundi hatarini kurudi vitani

MWAKATA KWETU

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2015
Posts
560
Reaction score
320
Kwa taarifa tunazozipata kutoka nchini burundi kwa sasa kwamba,maandamano yanaendelea.milupuko ya guruneti imetokea mjini bujumbura na hivyo kuonyesha dalili za warundi kurudi vitani.hii ni hatari sana kwa East Africa yetu.

Ninachoomba au nachomsihi mheshimiwa raisi wa burundi akubali kutogombea ili kuzuia machafuko tena nchini burundi.vita ina athari kubwa sana hata kwetu sisi huku kahama mkoani shinyanga itatuathiri.

Why? kwasababu endapo kama vita itatokea hata uharifu utaongezeka.
 
Kwa taarifa tunazozipata kutoka nchini burundi kwa sasa kwamba,maandamano yanaendelea.milupuko ya guruneti imetokea mjini bujumbura na hivyo kuonyesha dalili za warundi kurudi vitani.hii ni hatari sana kwa east africa yetu.nachoomba au nachomsihi mheshimiwa raisi wa burundi akubali kutogombea ili kuzuia machafuko tena nchini burundi.vita ina athari kubwa sana hata kwetu sisi huku kahama mkoani shinyanga itatuathiri.why?kwasababu endapo kama vita itatokea hata uharifu utaongezeka!

Tatizo kubwa sana la viongozi wa Afrika wanapoingia madarakani huanza kufikiria juu ya matumbo yao kiasi kwamba ata watu wauawe namna gani yy hata hashtuki maadam familia yake iko salama huziba masikio. Ndio afanyayo #Nkurunzinza kwa sasa maana kwa mwenye busara na mpigania maslahi ya nchi angekua tayari katanga kutogombea hadi sasa. Lakin bado anapeta ofisini huku nchi anazidi kuiingiza vitani.

Hata viongozi wetu waafrika nao pia ni useless maana hadi sasa hawajaonesha juhudi zozote za kuutatua mgogoro huu mpk mataifa ya juu yatakapokuja kulinda raia watasimama kupinga juhudi za mataifa haya kwa madai ya kivamiwa afrika nchi zenye mamlaka kamili ingali hawasimami kidete kutatua changamoto kabla hazijawa matatizo
 
East Africa nzima italipuka...Naambiwa Kagame na Mu7 nao wana mpango wa kuongeza muda...
 
Tatizo kubwa sana la viongozi wa Afrika wanapoingia madarakani huanza kufikiria juu ya matumbo yao kiasi kwamba ata watu wauawe namna gani yy hata hashtuki maadam familia yake iko salama huziba masikio. Ndio afanyayo #Nkurunzinza kwa sasa maana kwa mwenye busara na mpigania maslahi ya nchi angekua tayari katanga kutogombea hadi sasa. Lakin bado anapeta ofisini huku nchi anazidi kuiingiza vitani.

Hata viongozi wetu waafrika nao pia ni useless maana hadi sasa hawajaonesha juhudi zozote za kuutatua mgogoro huu mpk mataifa ya juu yatakapokuja kulinda raia watasimama kupinga juhudi za mataifa haya kwa madai ya kivamiwa afrika nchi zenye mamlaka kamili ingali hawasimami kidete kutatua changamoto kabla hazijawa matatizo

Nikiifikiria Burundi ileee nikigeukia kwenye afrika hiii huwa napatwa na ganzi ya mwili gafla waasisi wa hizi nchi hawakungangania madaraka hawa misukule wanaoishi ndio wanajiona Dunia wamepewa wao na familia zao moto wa mbingu upate kuwaunguza wote.
 
Hata ccm kakosekana mgombea naona watapendekeza tu jk aendelee

Kama mkurunzinza alivyopata supporters hata jk atapata tu
 
Acha vita ilipuke tu na wa kwanza kupigwa shaba awe Nkurunzinza ili iwe fundisho kwa viongozi wote wa EA

Kuna habari kwamba wale former rebel leaders wapo wanaorganize wapiganaji wao na muda si mrefu kitanuka. Hata ndani ya chama cha Nkurunzinza, asilimia kubwa ya viongozi wangependa achomoke ila hawana ubavu wa kutoa kauli hadharani.
 
Kwa taarifa tunazozipata kutoka nchini burundi kwa sasa kwamba,maandamano yanaendelea.milupuko ya guruneti imetokea mjini bujumbura na hivyo kuonyesha dalili za warundi kurudi vitani.hii ni hatari sana kwa east africa yetu.nachoomba au nachomsihi mheshimiwa raisi wa burundi akubali kutogombea ili kuzuia machafuko tena nchini burundi.vita ina athari kubwa sana hata kwetu sisi huku kahama mkoani shinyanga itatuathiri.why?kwasababu endapo kama vita itatokea hata uharifu utaongezeka!
Tatizo ni kwamba tunaviongozi wanafiki sana huyu alitakiwa aondolewe kwa lazima kwa uhuni huu
 
Nikiifikiria Burundi ileee nikigeukia kwenye afrika hiii huwa napatwa na ganzi ya mwili gafla waasisi wa hizi nchi hawakungangania madaraka hawa misukule wanaoishi ndio wanajiona Dunia wamepewa wao na familia zao moto wa mbingu upate kuwaunguza wote.

Kibaya zaidi hawa wanao tusumbua wengi ni mazao yaliyoandaliwa na hao tunaowaita waasisi wa mataifa yetu. Kitu kinachonisumbua hali itakuwaje kizazi kinachozalia ktk ombwe lao hili la uongozi watakuja kuongoza au kuwa viongozi wa namna gani ili hali wanashuhudia unyama ukifanya kwa wazazi wao na ndg pa1 na jamaa wa karibu.

Nadhan kwa mtazamo ambao unaweza kuwa finyu ila tusipo badilika kuna gharika huko mbeleni baada yao kupita.
 
Nkurunzinza anafaa kuendelea.
Kelele za.watusi wa bujumbura ni ubinafsi waliozaliwa nao#
 
Hayo ndiyo matokeo ya viongozi wenye uchu wa madaraka afeika huu ujinga sijui utaisha lini.
 
Watusi wanataka kutawala mbona hawamwambii ndugu yao kagame asigombee!!! Na mseven !!!
 
kwa taarifa tunazozipata kutoka nchini burundi kwa sasa kwamba,maandamano yanaendelea.milupuko ya guruneti imetokea mjini bujumbura na hivyo kuonyesha dalili za warundi kurudi vitani.hii ni hatari sana kwa east africa yetu.nachoomba au nachomsihi mheshimiwa raisi wa burundi akubali kutogombea ili kuzuia machafuko tena nchini burundi.vita ina athari kubwa sana hata kwetu sisi huku kahama mkoani shinyanga itatuathiri.why?kwasababu endapo kama vita itatokea hata uharifu utaongezeka!

mungu atuepushie mbali
 
Nkurunzinza anafaa kuendelea.
Kelele za.watusi wa bujumbura ni ubinafsi waliozaliwa nao#

Hili linajulikana ktk jamii yoyote, wapuuzi kama nyie hamkosekani. Dunia nzima wanaona tatizo la msingi lililopo wee unaleta mambo ya kipuuzi yakina vuvuzela hapa!! shame on u.
 
Watusi wanataka kutawala mbona hawamwambii ndugu yao kagame asigombee!!! Na mseven !!!


Hizi akiri nimezoea kuziona Ccm,Ukabila,Udini na Ukanda ndio Sera yenu.Umeonaje kama Watutsi ndio wanachochea mgogoro huu ili wao watawale?.Nakama nawao wanataka kutawala kosa liko wapi wakati nchi niyao wote?.Huyo Nkurunziza kama yeye ni Mzalendo kwanini asifuate katiba ya nchi?
 
AFRIKA tumelogwa,hakuna Kiongozi wa kumfunga mbwa kengere kwni viongozi wote wa Afrika wote wako pamoja.Kikwete na wenzako muonyeni huyo CHIZI KURUZINZA afate utaratibu walio jiwekea.
 
Alafu hawa viongozi wa Africa kama huyu Nkurunziza akipelekwa kule mahakama ya the H utawaona viongozi wenzie mapovu yanawatoka eti Wa Africa tunaonewa nawazungu,wanaingilia mamboyetu,mahakama inafanya kazi kwetu tu.Wazungu hawana tabia hizi za kishenzi ila ngozi hizi nyeusi tu
 
Back
Top Bottom