Bwana asikwambie mtu i kwakweli watanzania akili hatuna,angalia nchi kama china,hakuna uhuru hata kidogo ila ngalia jinsi watu wanvyojitoa kwenyi umasikini,sio serikali inawatoa kwenye umasikini,
ila ntakuunga mkono kwenye kutoa elimu ya ujasiriamali,kama serikali ikifanya hivi nadahani umasikini utaisha.kwa upande mwingine tusilaumau sana serikali sisi wananchi pia tunamakosa.hatujishughulishi ipasavyo.