Buriani Saidi Alli Masimango, tunakukumbuka Daima

Mkuu umenisikitisha sana japokua mimi ni mkristo safi siungi mkono huu ujinga wako wakristo hawako hv....pole sana nasriya pole barubaru....poleni wafiwa wote Mungu ampumzishe kwa Amani

Shukran sana mkuu.

Nadhani wewe ni miongoni mwa wema kabisa.

Na tuseme ukweli tu kuwa hizi jamii mbili za wakristo na waislam hapo awali ndani ya taifa hili zimekuwa zinaishi kwa upendo na aman kabisa na mshikamano wa kindugu wa utaifa.

Pamoja na tofauti zetu za dini na iman haikutokea watu kusemeana maneno ya chuki kias hiko.

Lakini kuibuka kwa baadhi ya viongoz na watu wasio na heri kwenye kizazi hiki kilichopandikizwa na kilichopita ndicho kimesababisha taharuki na uwepo wa watu kama hao.

Wengine km sisi tunareact haraka sana.
 

Sasa wewe ukitaka amjibu vipi??
 
RIP mzee,

Nilikuwa sijui, nilimfahamu wakati nafanya Field NSSF miaka ya nyuma kwenye kitengo cha ICT pale makao makuu, alikuwa amezama kweli kweli kwenye computing.
 
Mkuu umenisikitisha sana japokua mimi ni mkristo safi siungi mkono huu ujinga wako wakristo hawako hv....pole sana nasriya pole barubaru....poleni wafiwa wote Mungu ampumzishe kwa Amani

jina lake ni mbwa wa manzese naomba muachane nae
 
Sasa wewe ukitaka amjibu vipi??

Sa na wewe unaunga mkono?
Kusema kweli ahmed didat nae ana majibu ya ovyo. Wakianza hao wenzetu kutukana na yeye huja na mitusi yake. Kwani sisi tunaopuuza tu wajinga?
 
Last edited by a moderator:
Sa na wewe unaunga mkono?
Kusema kweli ahmed didat nae ana majibu ya ovyo. Wakianza hao wenzetu kutukana na yeye huja na mitusi yake. Kwani sisi tunaopuuza tu wajinga?

Uko sahihi nakubali.

Tunatakiwa kupuuza.

Lakin sometimes anaekutukana kilabuni ili hali wewe ni mpita njia tu huna unalolijua na wewe mtukane kilabuni hapo hapo.

Baadae hawakawii hawa...utaskia oooh samahani nilikua nimelewaa.

Sasa ujinga huo nani anataka.

Wanatukana kila siku wanadhani sisi hatujui hayo matusi??

Ajabu ukiripot kwa mods hawafanywi chochote.

Thats why sometimes watu huona potelea mbali.

Enough is enough na liwalo na liwe.

Sasa wewe hayo matusi ya huyo mbwa jike wa manzese yanavumilika yale??

Umeona mods wakimpa adhabu yule?

Potelea mbali.
 
Last edited by a moderator:

Lkn ukumbuke tumeusiwa kuh kuutumia ulimi ipaswavyo. Tuongee maneno ya kheri na mazuri. Na sio matusi. Dhambi nyingi zinatokana na ulimi. Basi tunoweza kujiepusha tuepukane nalo. Hasa kwa mwezi huu wa Ramadhan na hasa kwa kumi hili la mwisho.
 

Ahali yangu,
Kinachotakiwa ni KUHISHIMIANA NA SIO KUVUMILIANA. Kwani siku zote mkihishimiana hakutakuwa na dharau wala mas'khara katika matendo yenu ya kila siku.

Naunga mkono hoja.
 
Ahali yangu,
Kinachotakiwa ni KUHISHIMIANA NA SIO KUVUMILIANA. Kwani siku zote mkihishimiana hakutakuwa na dharau wala mas'khara katika matendo yenu ya kila siku.

Naunga mkono hoja.

Shukran sana Alhabiby Baru Baru.

Nikutakie Ramadhan Kareem.
 

Jamiiforums wakristo wana haki zaidi sisi tuvumilie tu.ila kikweli jamiiforums inabidi iitwe christian thinkers.maana mwanzo walikuwa peke yao wakawa wanatukana tu liwali na liwe jamiiforums ni christian thinkers
 
kumbe vijana wa zamani wa kariakoo walikuwa wanasoma hivyo! Da siku hizi sijui nini kimeingia kama si kuimba taarabu na bongo fleva basi ni kuwa punda, utandawazi huu,tumejifunza ujinga. R.I.P brother kwa historia yako iliyo tukuka. Mungu awape faraja wafiwa.
 

Mbona Kariakoo ndio chimbuko la kila kitu hata Uhuru wa Tanganyika vuguvugu lake lilianzia hapo. We soma kitabu cha Mohamed Said kinachoitwa HISTORIA YA TANGANYIKA ILIYOSAHAULIKA. Hapo alidadavua wazee hao walivyokuwa makini katika kutafuta ilmu na uhuru wa nchi yenu.

Ahsantum nakutakaia Eid Mubarak!

 
Rip masimango, naomba kuuliza hisabu=hesabu?
 
Asante sana kwa taarifa mkuu, wala sikuwa natambua haya yote, ubarikiwe sana uwe na afya njema, tuendelee kujuzana historia ya nchi yetu. Asante
 
kuna vingi umeongea lkn kuitwa computer miaka ya sabini sijui themanini naona kama hii ni chumvi,sababu hazikuwepo hata zilizokuwepo ni kwenye taasisi labda ni calcurator ntakuelewa.

ila niliwahi pita NSSF alikuwa anaonyesha namna ya kuprint document kwa kutumia simu ya mkononi bila kwenda kwenye computer.na kuhusu wema ni kweli hakupenda aone unakuwa mnyonge sababu ya matatizo na wengi walitumia weakness hii kumuomba pesa bila kumlipa/na zengine alikuwa anatoa tu kwa mapenzi yake mwenyewe.
 

Jamaa huyu alioa mtoto wa shule na kumuweka ndani; alivunja sheria na angeweza kwenda Lupango!! R.I.P masimango ulimtunzia siri Barubaru!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…