Mulhat Mpunga JF-Expert Member Joined Oct 28, 2010 Posts 27,650 Reaction score 16,722 Nov 18, 2016 #121 chikutentema said: Ungeyasema haya kabla hujabadiri ID mbona hukuwa na ujasiri huo. Naona ile Sikh imekufanya uwe bayana sasa. Click to expand... I'd imekuwa nini...... Nampenda paskali ajili fala
chikutentema said: Ungeyasema haya kabla hujabadiri ID mbona hukuwa na ujasiri huo. Naona ile Sikh imekufanya uwe bayana sasa. Click to expand... I'd imekuwa nini...... Nampenda paskali ajili fala
chikutentema JF-Expert Member Joined Dec 10, 2012 Posts 7,730 Reaction score 5,011 Nov 18, 2016 #122 Mulhat Mpunga said: I'd imekuwa nini...... Nampenda paskali ajili fala Click to expand... Sijakuelewa Mkuu
Mulhat Mpunga said: I'd imekuwa nini...... Nampenda paskali ajili fala Click to expand... Sijakuelewa Mkuu
ram Platinum Member Joined Oct 5, 2007 Posts 9,345 Reaction score 8,565 Nov 18, 2016 #123 RIP Mwalimu!
kaswiza90 Senior Member Joined Oct 25, 2015 Posts 196 Reaction score 70 Nov 18, 2016 #124 R.I.P mwalimu
M mahoza JF-Expert Member Joined Mar 11, 2012 Posts 1,248 Reaction score 579 Nov 18, 2016 #126 RIP mwl Kaijage.
Ulukolokwitanga JF-Expert Member Joined Sep 18, 2010 Posts 8,397 Reaction score 7,979 Nov 20, 2016 #127 Nimesoma Uzi wote sijaona mipango ya mazishi... Tulipingana kwa hoja hapa duniani lakini safari yetu ni moja. R.I.P Mwalimu Kaijage
Nimesoma Uzi wote sijaona mipango ya mazishi... Tulipingana kwa hoja hapa duniani lakini safari yetu ni moja. R.I.P Mwalimu Kaijage
R Retired JF-Expert Member Joined Jul 22, 2016 Posts 50,263 Reaction score 96,448 Nov 20, 2016 #128 Cybercrime said: wewe ni wa kusamehe tu, hiki siyo kipindi cha kukumbushia hayo. R..I.P Mwalimu Kaijage Click to expand... Anamfuatisha Mungu. Ukifa Mungu anafukua makaburi na kuyakumbuka madhambi yako na kutoa hukumu. Huyu hajakosea
Cybercrime said: wewe ni wa kusamehe tu, hiki siyo kipindi cha kukumbushia hayo. R..I.P Mwalimu Kaijage Click to expand... Anamfuatisha Mungu. Ukifa Mungu anafukua makaburi na kuyakumbuka madhambi yako na kutoa hukumu. Huyu hajakosea
R Retired JF-Expert Member Joined Jul 22, 2016 Posts 50,263 Reaction score 96,448 Nov 20, 2016 #129 nyamnini said: Nina wasiwasi na umuri wako labda bado mtoto mdogo, kama mkubwa itakuwa na tatizo la malezi, Huu Uzi wa msiba elewa hilo kwenye msiba hata afe usiyempenda masikitiko muhimu maana hamtaonana tena. Click to expand... Hapana ukifa adui yangu nitafurahi. Alivyomuandika Lowasa ni sawa?
nyamnini said: Nina wasiwasi na umuri wako labda bado mtoto mdogo, kama mkubwa itakuwa na tatizo la malezi, Huu Uzi wa msiba elewa hilo kwenye msiba hata afe usiyempenda masikitiko muhimu maana hamtaonana tena. Click to expand... Hapana ukifa adui yangu nitafurahi. Alivyomuandika Lowasa ni sawa?
R Retired JF-Expert Member Joined Jul 22, 2016 Posts 50,263 Reaction score 96,448 Nov 20, 2016 #130 Pascal Mayalla said: ipo ndio maana nimebadili, ila samahani mimi sio Mwalimu. Huu ni uzi wa Tribute kwa Mwalimu Kaijage. Naomba tuuheshimu. Natanguliza Shukrani ya asante kwa kunielewa . RIP Mwalimu Kaijage. Paskali Click to expand... Hapana Paskali, ukifa adui yangu wa kweli nitafurahi. Umeona uongo aliokuwa anamtakia Lowass
Pascal Mayalla said: ipo ndio maana nimebadili, ila samahani mimi sio Mwalimu. Huu ni uzi wa Tribute kwa Mwalimu Kaijage. Naomba tuuheshimu. Natanguliza Shukrani ya asante kwa kunielewa . RIP Mwalimu Kaijage. Paskali Click to expand... Hapana Paskali, ukifa adui yangu wa kweli nitafurahi. Umeona uongo aliokuwa anamtakia Lowass
mbikagani JF-Expert Member Joined Dec 5, 2014 Posts 3,107 Reaction score 1,782 Nov 20, 2016 #131 "SISI SOTE KWAKE TUTAREJEA" Mema uliyoyafanya mungu atakulipa MPAMBANAJI WA CHAMA MAKINI.