Buriani Mwalimu Kaijage

Nina wasiwasi na umuri wako labda bado mtoto mdogo, kama mkubwa itakuwa na tatizo la malezi,

Huu Uzi wa msiba elewa hilo kwenye msiba hata afe usiyempenda masikitiko muhimu maana hamtaonana tena.
Habibu mchage hana uadilifu wa kuandika tanzia
 
Mungu aiweke mahari panapostahili roho ya marehemu mwl kaijage,

Sisi wote tutakufa tutaenda kwake muhimu kukaa vizuri na Mungu tukiwa bado duniani

Ili tukiondoka tufuatwe na matendo mema.
 
Habibu mchage hana uadilifu wa kuandika tanzia
Anzisha Mada nyingine ya kumuhusu Habibu mchage na uadilifu wake lakini hapa ni habari ya msiba,
Kitu ambacho hakuna mwanadamu atakayekwepa.
 
Hivi mwalimu kaijage hakuwa mmoja wa watu waliomsema lowasa kwamba ni mgonjwa na ........???????
Ni swali tu.
 
Mungu Ni Mwema Wakati Wote
Mungu Ailaze Mahala Panapo Stahiri Roho Yake
 
Doh... RIP Mwalimu...

Sitaki kuamini kama huyu naye alimsema vibaya mzee Lowassa...
 
 
Tuko msibani ndugu, uzi huu unatueleza kuwa mwalimu kaijage amefariki, tusilete kebehi pia siasa mda wote.

Poleni wafiwa, RIP Mwl Kaijage

Tuweke akiba ya maneno...

RIP Mwalimu Kaijage

 
Mkuu Mjingawewe, usiwe kama mjinga, sijabadili jina, Pasco ni kifupi cha Pascal, Paschal, Paskali, Pasquale, Pasca, Pasqwa etc. Nilikuwa natumia kifupi, sasa natumia jina kamili kwa kirefu.
Paskali
Huyu jamaa kumbe alikuwa anamsema vibaya chaguo letu

RIP Ticha Kaijage, sote tuko njia moja.

 
Huyu jamaa kumbe alikuwa anamsema vibaya chaguo letu

RIP Ticha Kaijage, sote tuko njia moja.


Basi nanyie maUpawa sijui upinzani uchwara wekeni maneno mliyokuwa mnamsema chaguo lenu Yule mzee.
Nanyie wekeni akiba ya maneno
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…