Bunju-Posta Metro Line

Hyo ya binafsi mfano barabara za mtaani uruhusiwi kujenga eti mpaka kibali, tatizo letu nchi yetu viongozi wetu do not think of the future project wao wanachojali ten percent, mfano hyo mikataba tunayoingiaga nao kwanini wasipewe conditions za kujenga miundo mbinu muhimu kwenye eneo husika pia nakuwaendeleza wataalamu wetu Ili ku exchange technology. Waarabu wao wameweza kutumia rasilimali zao kuaga umaskini but the case is different In Africa. Miundo mbinu ni muhimu for future sustainable ya maendeleo
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dubai wametumia rasilimali zao ipasavyo....sisi wajanja tunajiibia halafu tunasingizia mabeberu.
 
Tutafika tu.
 
Mkuu, unajua unatembelea nchi za watu unapata depression ukifikiria kwenu. Unajiuliza sisi tumelaaniwa au?
 
Kuna mwarabu mmoja alikua ananiambia Malaysia ndio mfumo wanao tumia unajenga halafu unasimamia kurudisha chako na wanafanikiwa sana . Wangefanya kama pilot project wawekezaji waweke usafiri wa boti bagamoyo mpaka posta itasaidia sana na itapunguza foleni baadae wawape miundombinu ya barabara kama hizo cha msingi ni kusimamia hili final consumer hasiumizwe pia na kumpa mda wa kutosha mwekezaji hili apate faida. Fikilia kama mwaka huu uwanja wa ndege mpya ukifunguliwa halafu miundo mbinu ya kwenda mjini ni hile hile foleni itarudi maana hata daraja la tazara litazidiwa

kitochi
 
Tatizo kubwa ni Umasikini wa Fikra.
 
Nimekuwa nikifikiria sana kazi za hawa Mipango Miji, sijui huwa wanakipanga kitu gani halafu Mpumbavu mmoja anakuja na mpango wa kudiscourage watu wasinunue magari sababu ya foleni. Pumbavu kabisa
 
Mkuu, unajua unatembelea nchi za watu unapata depression ukifikiria kwenu. Unajiuliza sisi tumelaaniwa au?
Mara zote huwa nafikiria tuna Laana sisi sio bure. Mbona serikali vitu kibao tu inatumia vya kisasa! Haya ya msingi yanashindikana nini!!!?
 
mi naona wange fanya mwendonas zikawa kama public bas (daladala) na tren zikiwepo itakuwa fresh sana coz inch zot zilizoendelea ndio mfumo wanaotumia
japo wao wana mpka tram

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cost wise kati ya Metro line na hii Rapid transit ipi ipo chini!?..
Tuchukulie mfano tu wa treni ya Posta-Pugu/Posta-ubungo zinavyojaza watu pamoja na behewa zote zile then pigia picha itabidi vijengwe vituo vingapi kuziaccomodate hizo metro line trains!.
Lets be serious kwa sasa Mwendokasi ni suluhu ya tatizo letu tukiangalia toka ujenzi wake, uendeshaji wake, utunzaji wake na uwezo kuhimili unforeseen events!.
Kilichohitajika ni kuongeza mabasi tu sio kuanza kujenga hayo matreni ya juu ambayo kwanza ni gharama pili hatutaweza yaendesha kwa kipindi kirefu halafu matengenezo yake ni makubwa zaidi!..
Tunaweza piga kelele zijengwe hata Maglev trains lakini nauli ya Posta-Tegeta ikiwa elfu 15 tusianze kelele, hakuna mradi unaojengwa bila angalia gharama za kuuendesha na payback period yake!..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…