Nahisi kitu kwako;Safi sana tena waongezwe mara mbili zaidi hatutaki wahuni barabarani huwezi ogopa traffic kama huna shida kichwani au chombo chako cha usafiri
Eleza kilichokusibu ndugu ili ni-sympathize nawe.Unaeleza feelings zako ila kilichotokea unakifichaKero kero mpaka unatamani kuacha gari nyumbani kwani kuna tatizo gani nchi hii?
Inawezekana huna gari,nakuombea upate hata la mjombaako ndo utawaelewa wanaolalamika,au we ndio hao hao.Trafiki wapo kwa ajili ya usalama wako, ongezeko lao linamaanisha serikali inajali zaidi usalama wako na ina uwezo mkubwa wa kuajiri vijana wachapakazi.
Tii sheria bila shurti.
Yaani wewe una leseni halafu unadai huna elimu ya usalama barabarani? Ulipataje leseni yako? Au wewe ni mmoja wa wale walioletewa leseni nyumbani bila kwenda darasani?Sheria zipi kama hata elimu juu ya usalama barabarani siku hizi haitolewi zaidi ya kushika EFD mashine
Mkuu una gari?Askari kuwepo barabarani ni wajibu wao sasa munataka wakae wapi saazingine tunalalama vitu tusiovijua au tunapenda kulalama