Bungeni: Spika Ndugai amsimamisha Stephen Masele uwakilishi wa Bunge la Afrika. Bunge limeteua mkaguzi kumkagua CAG

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,963
141,963
Spika wa bunge mh Ndugai amesema kwa kutumia mamlaka aliyonayo amemsimamisha mbunge Masele kuliwakilisha bunge la JMT katika bunge la Afrika.

Ndugai amesema Masele amekuwa mtovu wa nidhamu na mwenye tabia za hovyo hovyo.

Barua kwa Masele:
0ABA0646-5007-4979-AFD6-54E68065EED3.jpeg


Kauli ya Masele:

F57FB747-F90F-4913-904B-CA959C0499AB.jpeg

A0CF7936-1E2A-46D3-98B1-3C0DFA1608F1.jpeg

DF5D44EB-42E8-4CDC-9EAD-B69B78454FA9.jpeg


Mh. Masele amgomea Spika Ndugai. Tazama video chini



Kadhalika Ndugai amesema bunge kwa kutumia kanuni zake ilimteua kampuni ya ukaguzi ya Mangesho kumkagua CAG na tayari kampuni hiyo imemaliza kazi na ripoti zimewasilishwa bungeni.

Ripoti hiyo itawasilishwa kwenye kamati ya hesabu kwa utendaji zaidi.

Spika amesema miaka yote CAG amekuwa akikagua wengine lakini yeye hakaguliwi lakini safari hii mambo ni tofauti kabisa kwani hakuna taasisi isiyopaswa kukaguliwa.

Maendeleo hayana vyama!
 
Kwa mujibu wa taarifa ya Spika leo asubuhi Mheshimiwa Masele ameitwa kurejea nyumbani toka kikao vya Bunge la Afrika linaloendelea Afrika kusini kwa sababu za kimaadili.

Kwa sababu hiyo ubunge wake umesimamishwa na ametakiwa kufika katika kamati ya maadili ya Bunge na ya Chama chake CCM, hadi taratibu hizo zitakapo kamilika na kufanya maamuzi.

Mheshimiwa Masele ni mbunge wa Bunge la Afrika na pia ni Makamu wa Raisi wa Bunge hilo.
 
Kafanya nini huyu?
Kwa mujibu wa taarifa ya Spika leo asubuhi Mheshimiwa Masele ameitwa kurejea nyumbani toka kikao vya Bunge la Afrika linaloendelea Afrika kusini kwa sababu za kimaadili.

Kwa sababu hiyo ubunge wake umesimamishwa na ametakiwa kufika katika kamati ya maadili ya Bunge na ya Chama chake CCM, hadi taratibu hizo zitakapo kamilika na kufanya maamuzi.

Mheshimiwa Masele ni mbunge wa Bunge la Afrika na pia ni Makamu wa Raisi wa Bunge hilo.
 
Kwa mujibu wa taarifa ya Spika leo asubuhi Mheshimiwa Masele ameitwa kurejea nyumbani toka kikao vya Bunge la Afrika linaloendelea Afrika kusini kwa sababu za kimaadili.

Kwa sababu hiyo ubunge wake umesimamishwa na ametakiwa kufika katika kamati ya maadili ya Bunge na ya Chama chake CCM, hadi taratibu hizo zitakapo kamilika na kufanya maamuzi.

Mheshimiwa Masele ni mbunge wa Bunge la Afrika na pia ni Makamu wa Raisi wa Bunge hilo.
Kuhadi wake kazini

Wanamtafutia Umaarufu

Hoja hapo haijawekwa ndio utajua ni umaarufu kunuka
 
Miaka yote CAG amekuwa akikaguliwa
Na kama Hakuwa akikaguliwa na mwenye jukumu la kuteua Mkaguzi ni Bunge na halikuwa likifanya hivyo jee huo ni udhaifu wa Bunge au CAG?

Ndugai bado kiungulia cha kuitwa dhaifu hakijamuisha

Walio karibu nae wamshauri alambe majivu ku neutralize Acid kifuani

Pia wamkumbushe CAG sio Accouting Officer wa Ofisi ya ukaguzi wa Taifa kwa kuwa walioifuma Structure ya Ofisi ile walitabiri uwepo wa Kina ‘Ndugai’!
 
Back
Top Bottom