Bungeni raha kweli !!!!!!!!!!!!!!!!!

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Feb 3, 2009
42,316
33,125
581079_222024717900159_100002778988045_270111_1919644704_n.jpg


Who is that picture?
Kiongozi kama huyu hafai kuongoza wananchi wake, Mbunge kama huyu iweje wananhi wake wamchague na anakwenda bungeni kulala usingizi? Ahhhhh Wa Tanzania tuamkeni kuwachaguwa Viongozi imara.
 
Kwani walioweka umri wa kustaafu kazi na kupumzika walikosea ? Nyie si mnasema katika siasa hakuna kustaafu mpaka mtu a-RIP.
 
581079_222024717900159_100002778988045_270111_1919644704_n.jpg


Who is that picture?
Kiongozi kama huyu hafai kuongoza wananchi wake, Mbunge kama huyu iweje wananhi wake wamchague na anakwenda bungeni kulala usingizi? Ahhhhh Wa Tanzania tuamkeni kuwachaguwa Viongozi imara.

Hivi allowance ya mbunge kwa siku ni shilingi ngapi vile ???
 
mwili hauwezi tena dharuba na umeshakata,ila hataki kuwaachia vijana matokeo yake ana lala ovyo mtumzima.
 
yaani hyu ana tofauti gani na mugabe? yaani mizee hii ikae home ulee wajukuu..tatizo lao hawakubali kuzeeka hawa haani hapo ukute kakesha na mapangaboi ya vitoto vya UDOM afu asubuhi anaenda kujadili miswada na majedwani kama yanaafikiwa...aghhh nchi hii bana
 
Ndiyo sababu tunasema chagueni vijana kuongoza siyo wazee,usimlaumu amechoka lazima apige usingizi
 
Back
Top Bottom