Kwa mara ya kwanza tangu nimfahamu mhe Msigwa, leo nimeona ameongea kwa staha na utulivu wa hali ya juu alipokuwa akiuliza swali kwa waziri wa mambo ya ndani kuhusiana na kujenga na kuboresha makazi ya jeshi la polisi nchini.
My take;
Leo nimeamini kuwa ile chuki kwa jeshi la polisi inayo aminiwa kutawala kwa wapinzani ni geresha tu, ukweli ni huo alioutoa Msigwa kuwa ana wajali na kuwathimini polisi wetu, iweje mashabiki wa CHADEMA mjenge chuki na jeshi la polisi?
Msigwa siku zote anaongea point tupu. Ni mtu anayesema Facts zaidi na sio myths.
Kwani POLISI ni wabaya, ni hao wakuu wao wanaopokea maelekezo ya kijingo toka kwa watawala na kuwapa amri polisi kutekeleza uvunjifu wa sheria na amani. Usituletee maneno ya Mh. Lukuvi wakati mnajua Jeshi la polisi hivisasa linaongozwa na IGP Mwigulu Nchemba.
Acha uzushi wewe gamba,sio polisi wote ni mandondocha ya magamba wapo waadilifu!!Tuna ugomvi na watu kama akina kamhanda na vibaraka wenzao wanajijua....
Kumuita Kinana jangili nayo point? kushika biblia bungeni huku akishusha matusi kwa watawala nayo point? kwa hili la leo nimempa viji-credit kidogo na ningependa wapinzani wengine wafuate mwenendo huo wa Msigwa!!
Kumuita Kinana jangili nayo point? kushika biblia bungeni huku akishusha matusi kwa watawala nayo point? kwa hili la leo nimempa viji-credit kidogo na ningependa wapinzani wengine wafuate mwenendo huo wa Msigwa!!
The only thing you dont know, ni ukweli kwamba baadhi ya hao polisi ndiyo wanatupatia siri za ndani kabisa za jeshi la polisi. Wewe unafikiri huwa tunajuaje mipango yenu ya kuihujumu chadema? Kuna polisi ambao ni watiifu kwa CHADEMA na hao ndiyo tunaowahurumia.Kwa mara ya kwanza tangu nimfahamu mhe Msigwa, leo nimeona ameongea kwa staha na utulivu wa hali ya juu alipokuwa akiuliza swali kwa waziri wa mambo ya ndani kuhusiana na kujenga na kuboresha makazi ya jeshi la polisi nchini.
My take;
Leo nimeamini kuwa ile chuki kwa jeshi la polisi inayo aminiwa kutawala kwa wapinzani ni geresha tu, ukweli ni huo alioutoa Msigwa kuwa ana wajali na kuwathamini polisi wetu, iweje mashabiki wa CHADEMA mjenge chuki na jeshi la polisi?
alishughulikiwa vizuri siku ile alipofanya vurugu iringa ndio mana amepata adabu
The only thing you dont know, ni ukweli kwamba baadhi ya hao polisi ndiyo wanatupatia siri za ndani kabisa za jeshi la polisi. Wewe unafikiri huwa tunajuaje mipango yenu ya kuihujumu chadema? Kuna polisi ambao ni watiifu kwa CHADEMA na hao ndiyo tunaowahurumia.
Kwani bungeni ni nyumba ya mungu?mbona watu wameshika biblia mara kibao bungeni wa kiapa karibu kila awamu lakini mwisho wa siku wanasafirisha mpaka wanyama hai alafu wanatuzuga hawafahamu hao wanyama wamekwenda kwa nani mpaka wanaomba msaada kwa serikali huko uarabuni wakati airport msafiri wa kaaida tu akibeba lotion inatolewa sembuse wanyawa. Biblia na misahafu inayoshikwa pale ni utamaduni tu kwani wengi pale katika maisha yao mtaani kabla ya kuingia bungeni walikuwa hawashiki wala kuwa karibu na vitabu hivyo vitakatifu.
Siyo usaliti bali wamechoka kutumiwa na CCM kwa mambo ya kisiasa.Mkuu, huo sio utiifu bali ni usaliti. Mtu wa namna hiyo ambae ana kiuka maadili ya kazi yake na kukiuka kiapo chake, kwa kuvujisha mambo ya jeshi ni MSALITI. Kwa sasa mnaweza kuwafurahia, ila kumbukeni dhambi ya usaili haipotei, itaendelea kuwatafuta tu.