Umemuona eeh, bila aibu anachana mbele ya kamera. Je, yale wanayochana wakiwa wenyewe huko, nyaraka ngapi wanachana.
.
"WASIOSOMA NI CHAKULA CHA WASOMI".
Hakuna kitu, hakuna kuwajibika! Wanapoteza kodi zetu kwa allowance huko. Kama kweli wataondoka hapo na implementation milestone niite dog. Hawana lolote hao.