Bungeni: Lowassa atangazwa Mtoro

Kuna tija kwa Taifa kwa sisi kuachakujadil hoja za maana na kujadili utoro wa Lowasa ? Guys lete mada zenye mashiko please.
 
Aliyetamka mtoro ni wa chama cha majike au chama cha dume ?
 
Katika zoezi linaloendelea hivi sasa,la kupiga kura ya kupitisha Bajeti,Mh.Edward Lowasa ameitwa mtoro na wabunge wenzake baada ya jina lake kuitwa na kuwa kimya,kuna mbunge akaitikia mtoro.

Chuki binafsi + fitina = mauti/donda la moyo.
 
umenikumbusha neno mtoro....? walimu shule ya msingi miaka hiyo walilipenda sana
 
Ataitwa mtoro tu pale ambapo atakuwa hayupo bungeni bila kupata ruhsa ya spika. lakini kama spika kawaruhusu basi hao sio watoro.
 
Tulikuwa naye hapa site nyumba ya sanaa ya zamani jana mchana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…