Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 360,399
- 829,717
View attachment 206172 hili neno ni tusi baya kabisa! Mtu mzima anapolitamka mbele ya hadhira ya vyombo vya habari inabidi achunguzwe akili yake
Ashki majununi ni ny.ege mshindo, inasikitisha mno kuona mwenyekiti wa kikao cha bunge jioni hii 'zungu' akilivumilia tusi hili
nani kalitoa mpwa
nilikua barabarani ndo nimefika kiotani kwangu muda huu
Kwani aliyekuwa anaropoka kimyakimya kwa kubadilisha sauti si ni mhe Lema ambaye Kibajaji alishasemaga kuwa alipata mume jela. Ni sawa tu.
Acha kuhora hela za escrow zirudi.
View attachment 206172 hili neno ni tusi baya kabisa! Mtu mzima anapolitamka mbele ya hadhira ya vyombo vya habari inabidi achunguzwe akili yake
Ashki majununi ni ny.ege mshindo, inasikitisha mno kuona mwenyekiti wa kikao cha bunge jioni hii 'zungu' akilivumilia tusi hili
Bukuku haki ya mama wananchi sasa ndi wakati wa kujua mbunge wako ni pumba ama mchele.
View attachment 206172 hili neno ni tusi baya kabisa! Mtu mzima anapolitamka mbele ya hadhira ya vyombo vya habari inabidi achunguzwe akili yake
Ashki majununi ni ny.ege mshindo, inasikitisha mno kuona mwenyekiti wa kikao cha bunge jioni hii 'zungu' akilivumilia tusi hili
Hilo limama la CCM Mariam Msangi limelewa viroba, mwl wa shule ya msingi, possible mwl wa UPE halijui linasema nini.