Bungeni kwa sasa hakuna upinzani

Bungeni kwa sasa hakuna upinzani

naangalia bunge hapa duuuh lema hata kanuni za bunge ni shida anapita mbele ya spika kama anaenda sokoni kilombero
hivi huyu bwana yuko vizuri kichwani au anapuliza??[/QUOT

...inawezekana anakupuliza wewe dada yetu!!
 
Alafu mtu kama huyu kesho na keshokutwa utasikia akilalamika eti pro-CHADEMA wana matusi!

Kweli nyani haoni....!

Hawa ndivyo walivyo usiwashangae.Siku hizi nimeamua nikiwaona hata hoja zao sitazijibu,maana hawapendi challenges.
 
Tangu Mh. Zito atoke Bungeni, wachangiaji wa upande wa upinzani hawana hoja. Lisu na Mbowe wamesusa kwa aibu.

Zito kwa mwaka jana alikuwa na hoja ngapi ambazo alizisimamia zikafika mwisho!! Issue ya Escrow ni ya kafulila! Tangia enzi za Buzwagi jamaa akala ndoano kwisheney
 
Wakati mwingi hata ukimya ni jibu, kama hoja hazina mashiko wahangaike nazo za nini???????
kichwa cha mbunge mmoja wa chadema ni sawa na vichwa vya wabunge magamba 155, hivo haina haja ya kuwahangaikia.
acha nipite mie.
 
Mleta mada nimekuelewa ila Bavicha kama kawaida yao wazito sijui shuleni ilikuwaje,Ulichokuwa unakieleza mtoa mada nakiweka hivi: Mfano katika timu ya mpira utakuta kuna mchezaji mmoja anakuwa ni very influential kiasi kwamba uwepo wake unatoa confidence for the whole squad and vice-versa is true.Mfano halisi wa hili ni Zinedine Zidane kwa France National team,uwepo wa huyu bwana kwa ile timu ilikuwa inawapa confidence wanajikuta wanacheza gemu kwa kiwango chao cha juu kabisa lakini asipokuwapo yeye tu hata wale wengine wote wabaki inakuwa a very diffrent team.Kwa hiyo jamani Mtoa mada alikuwa anamaanisha kutokuwapo kwa Zitto bungeni ila hamasa ya upinzani imepotea kiasi kwamba kunaonekana wako CCM wenyewe tu.
 
Hata kufa unaanza kidogo kidogo, mara miguu inakufa ganzi, mwisho mwili wote unakufa;
Wakiambiwa ni wepesi kutukana, ngoja tuone.
 
Mleta mada nimekuelewa ila Bavicha kama kawaida yao wazito sijui shuleni ilikuwaje,Ulichokuwa unakieleza mtoa mada nakiweka hivi: Mfano katika timu ya mpira utakuta kuna mchezaji mmoja anakuwa ni very influential kiasi kwamba uwepo wake unatoa confidence for the whole squad and vice-versa is true.Mfano halisi wa hili ni Zinedine Zidane kwa France National team,uwepo wa huyu bwana kwa ile timu ilikuwa inawapa confidence wanajikuta wanacheza gemu kwa kiwango chao cha juu kabisa lakini asipokuwapo yeye tu hata wale wengine wote wabaki inakuwa a very diffrent team.Kwa hiyo jamani Mtoa mada alikuwa anamaanisha kutokuwapo kwa Zitto bungeni ila hamasa ya upinzani imepotea kiasi kwamba kunaonekana wako CCM wenyewe tu.

ni watu wachache sana wanaweza kuelewa mkuu,ila kwa upande wa bavicha sidhan hao wamekula yamin na mtei
 
Pole sn hivi kwa akili zako ulikuwa unajua kuwa zzk ni mpinzani hujui nn unamaanisha
 
Tangu Mh. Zito atoke Bungeni, wachangiaji wa upande wa upinzani hawana hoja. Lisu na Mbowe wamesusa kwa aibu.

Je umeshajisajili kwa wazee wa BVR??? :llama:shauri yako we minyana na mambo ya ZZK[[[[[[
 
naangalia bunge hapa duuuh lema hata kanuni za bunge ni shida anapita mbele ya spika kama anaenda sokoni kilombero
hivi huyu bwana yuko vizuri kichwani au anapuliza??
Ndio siasa za kistaarabu na kizalendo za ACT.
Aisee
 
Back
Top Bottom