Bungeni kwa sasa hakuna upinzani

Bungeni kwa sasa hakuna upinzani

upumbav ni mzigo mzito, nadhani hata hao wanaowalipeni buku 7 nao ni mazuzu
 
naangalia bunge hapa duuuh lema hata kanuni za bunge ni shida anapita mbele ya spika kama anaenda sokoni kilombero
hivi huyu bwana yuko vizuri kichwani au anapuliza??

Kama Spika hakuona tatizo wewe kinakuuma nini??!!
 
tatizo la ACT Tanzania ni attention seekers wanatafuta upinzani na cdm mtandaoni hahahaha nendeni kijijini mkajenge chama jf haitawapa chochote buahahahahahahahahahahahaha niacheni nicheke mie mwana cdm hai.
 
ACT na watu wake inashangaza sana, yaani chama kinamtegemea ZZK tu ndio kitoke, huu ni udhaifu mkubwa sana! Watu hawataji sera za chama ni ZZK, this is too risky! ZZK ni binadamu akifa leo na ACT inakufa kifo cha mende! Kwa sababu hasisiki Prof. Kitila wala Mwigamba yaani ni ZZK tu! Chama kinamtegemea mtu badala ya mkusanyiko wa wanachama ktk kona mbali mbali za nchi ni hatari sana!

Ni kweli kabisa mkuu bora chama chetu tunawategemea watu wawili babu na DJ akifa mmoja mwingine anabaki na chama kinasonga mbele.
 
Unataka kuanzisha malumbano yasiyo na tija kupima temper za watu bure!

Ni mtizamo tu unaosumbua watu, unawezaje kusema tangu Zitto atoke bungeni wachangiaji upande wa upinzani hawana hoja. Kuna wabunge kama Kafulila, Mnyika, Machari, Mkosamali, Wenje Gekul. Pareso, Buruhani, na wengine wengi hata wale wa kutoka Zanzibar wote hao hawana hoja, hayo sasa matusi na kwamba tunahitaji kuwa na akili ya mbayuwayu: akili ya kuambiwa changanya na yako, akili ya mtoa post peke yake haitatufikisha popote.
 
Ni mtizamo tu unaosumbua watu, unawezaje kusema tangu Zitto atoke bungeni wachangiaji upande wa upinzani hawana hoja. Kuna wabunge kama Kafulila, Mnyika, Machari, Mkosamali, Wenje Gekul. Pareso, Buruhani, na wengine wengi hata wale wa kutoka Zanzibar wote hao hawana hoja, hayo sasa matusi na kwamba tunahitaji kuwa na akili ya mbayuwayu: akili ya kuambiwa changanya na yako, akili ya mtoa post peke yake haitatufikisha popote.


Kwa maneno machache ni kwamba mleta maada ana maanisha kwamba Mr Kabwe ndiye alikuwa amebeba jukwaa lote la wabunge kutoka upinzani na kwamba kutokuwepo kwake ni kwamba hakuna upinzani, aidha dhamira yake kuu ni kwamba huyu bwana aombwe arudi Bungeni ili kuleta anachoita hamasa!
 
ACT na watu wake inashangaza sana, yaani chama kinamtegemea ZZK tu ndio kitoke, huu ni udhaifu mkubwa sana! Watu hawataji sera za chama ni ZZK, this is too risky! ZZK ni binadamu akifa leo na ACT inakufa kifo cha mende! Kwa sababu hasisiki Prof. Kitila wala Mwigamba yaani ni ZZK tu! Chama kinamtegemea mtu badala ya mkusanyiko wa wanachama ktk kona mbali mbali za nchi ni hatari sana!

Toka asubuhi jukwaa la siasa naona sahizi kuna hoja ya msingi hapa... Mtu amekuwa ndo Chama na sio wanachama!! Watu wengine sijui wanafikiria kutumia matako..... Safi mkuu!!
 
Back
Top Bottom