Elections 2010 Bungeni Kumekucha CHADEMA

baada ya mheshimiwa tundu lissu kuwachemsha wagombea uwakilishi wa sadc kwa maswali ya kitoto na woote kushindwa kutoa majibu,, kwa mujibu wa wanajamii wengi wanasema kama mmoja anashindwa kujua hata kirefu cha neno sadc anagombea nini sasa,,,

mwingine anagombea kitu hajui hata kilianza mwaka gani jamani hawa wabunge wa ccm vipi? Mbona wanahaibika kiumee?
Wanashindwa kusema hata this wanasema zis hahahahahahahahah hapo ndo hoooi

sasa mnyika na lisu walianza juzi na jana, mbowe na kabwe wanawavutia kasi wakati mtoto mdee akishusha pumzi,, lussu ambaye iliwahi kusikika kikwete akisema kwa mdomo wake kuwa "" ni heri slaa awe raisi kuliko lissu kuwa mmbunge""
kwa kauli hii inaonesha hata wanaccm wanajua jasho lazima litaatoka safali hii,,

nakupa sana big up li suu,, fanya kazi tulio kutuma kaka

peeeeeeeooooopleeeee.........................

aminia chademistsssss bora tuwe tulivyo kuliko kuwa kama walivyo
 
Kama Tundu anafahamu vyema kuhusu Sadc,kwanini hakugombea yeye?

Mtu hagombei kwa sababu anafahamu vyema kuhusu SADC,bali mtu anayegombea inampasa kUfahamu vyema kuhusu SADC,Unatutia aibu bwana!! cant you be a great thinker????
 
Baada ya Mheshimiwa Tundu Lissu kuwachemsha Wagombea uwakilishi wa SADC kwa maswali ya kitoto na woote kushindwa kutoa majibu,, Kwa mujibu wa Wanajamii wengi wanasema Kama Mmoja anashindwa kujua hata Kirefu cha neno SADC anagombea nini sasa,,,

Mwingine anagombea kitu hajui hata kilianza mwaka gani jamani Hawa wabunge wa CCM vipi? mbona wanahaibika kiumee?
Wanashindwa kusema hata this wanasema zis hahahahahahahahah hapo ndo hoooi

Sasa Mnyika na Lisu walianza juzi na jana, Mbowe na Kabwe wanawavutia kasi wakati Mtoto Mdee akishusha pumzi,, Lussu ambaye iliwahi kusikika Kikwete akisema kwa mdomo wake kuwa "" NI HERI SLAA AWE RAISI KULIKO LISSU KUWA MMBUNGE""
kwa kauli hii inaonesha Hata wanaCCM wanajua jasho lazima litaatoka Safali hii,,

Nakupa sana Big up Li suu,, fanya kazi tulio kutuma kaka

Peeeeeeeooooopleeeee.........................
Mkuu, uandishi huu hautusaidii sisi tulio mbali na nchi yetu pendwa... Umeandika kama unatangaza mpira wakati na mambo muhimu kwa taifa letu

Naomba basi uwe unapunguza ushabiki ili kutusaidia kupata maana ya ulichotuma

Nashukuru
 
Bro kama kila mtalaam wa jambo fulani ndiyo aende kugombea kwenye eneo hilo ingekuwa balaa kabisa maana huko Vyuo vikuu ambako kuna
wajuaji wengi (prefessors) wote wangehamia bungeni! Kugombea ni interest ya mtu na vile unavyojisikia siyo kujua sana. Cha msingi ni kuwa
ili mtu agombea lazima awe anajua kuwa anagombea nafasi gani na kwanini. Swali la kwanini unagombea linakupa ulazima wa wewe kuijua nafasi au taasisi hiyo kwa undani zaidi. Kama huijui unaenda kufanya nini?
 
kuna mbunge hajui kirefu cha SADC?

Khaaa kuna mmoja wa wagombea upande wa CCM alishindwa ku define what does the word SADC stand for? au The long meaning of SADC hapo juzi mjengoni na watu wakabaki kucheka na bunge likabadilika likawa la Ki English na walio kuwa wanatamba humo ni CHADEMA, CCM walikuwa wao ni kupiga madawati yao humo kwa kufuata mkumbo

 
Lisu amewasumbua sana serikali katika kesi mbalimbali hasa zile za fidia za watu wa Tarime na ile kesi ya Marehemu mpiganaji Chacha Wangwe, kwa hiyo wanamjua sana.
 
Sasa mimi nasema Lisu level yake si ya Bunge la Tanzania atawachapa viboko mpaka wakauke, yule level yake ni Bunge la Uingereza,
 
Acid usichoelewa ninini my Brother kwani ni uwongo wagombea Uwakilishi wa SAdec hawakuchemsha kule Bungeni sasa hapo ushabiki uko wapi?
 
Dah.............ninaionea aibu screen yangu..no wonder wakenya wanapepea tu na kututimulia vumbi
 
Mkumbusheni Bwana Lisu kwamba Singida wanataka maendeleo. Kwenda kujitafutia cheap popularity TBC1 Kwa kuuliza "gotcha questions" sio ishu wala nini.

Ushauri wa bure.

Kwani inaonekana kama kasahau? It is too early to judge kwa kikao cha kwanza tu
 
haingii akilini uombe kazi kanisani halafu hujui hata kanisani kunafanyika shughuli gani. Hii ni aibu kubwa kwa bunge letu. Inaonyesha ni jinsi gani ambavyo ni viazi. Nadhani ni muda muhafaka sasa nafasi za kuwakilisha nchi zewe zinapitia michakato dhabit na tuondokane na ile zana ya huyu ni mwenzutu, amepita bila kupingwa, nk
 
Kama Tundu anafahamu vyema kuhusu Sadc,kwanini hakugombea yeye?

wee chizi mwehu unafanya nn hapa?? kwahiyo kwa akili yako ukiwa na uwezo na kitu fulani basi lazima ugombee na si kuangalia circumstances nyinginezo..??kamalizie dawa zako za uchizi..
 
Mkuu, uandishi huu hautusaidii sisi tulio mbali na nchi yetu pendwa... Umeandika kama unatangaza mpira wakati na mambo muhimu kwa taifa letu

Naomba basi uwe unapunguza ushabiki ili kutusaidia kupata maana ya ulichotuma

Nashukuru

Mbona uandishi wake uko poa tu! Huenda mada hii imekugusa kivingine kabisa.

Ushabiki ulosababisha wewe Brother usielewe uko wapi?

Kumbuka umesifiwa juzi tuu na dada naniliu...hivo usiharibu
 
Kwa wale waliofundishwa namna ya kujiandaa kwa usaili (interview) kwa ajili ya kazi kuna mambo ya kuzingatia. Mojawapo ya jambo muhimu la kuzingatia ni kuijua Taasisi ambayo unaiomba nafasi ya kazi. Kuijua Taasisi ni pamoja na kujua ilianziswa lini na inajishughulisha na nini.

Wabunge waliokuwa wanaomba nafasi ya kuwakilisha bunge la Tanzania kwenye SADC walikuwa ni kama wamekuja kwa ajili ya usaili. kimsingi kutokufahamu kirefu cha neno SADC wala kujua ilianzishwa lini ni kufeli usaili. Kwa kifupi walichotakiwa kujua ni mambo kama hayo hapo chini:

SADC PROFILE

The Southern African Development Community (SADC) has been in existence since 1980, when it was formed as a loose alliance of nine majority-ruled States in Southern Africa known as the Southern African Development Coordination Conference (SADCC), with the main aim of coordinating development projects in order to lessen economic dependence on the then apartheid South Africa. The founding Member States are: Angola, Botswana, Lesotho, Malawi, Mozambique, Swaziland, United Republic of Tanzania, Zambia and Zimbabwe.

SADCC was formed in Lusaka, Zambia on April 1, 1980, following the adoption of the Lusaka Declaration - Southern Africa: Towards Economic Liberation.

The transformation of the organization from a Coordinating Conference into a Development Community (SADC) took place on August 17, 1992 in Windhoek, Namibia when the Declaration and Treaty was signed at the Summit of Heads of State and Government thereby giving the organization a legal character.

SADC was established under Article 2 of the SADC treaty by SADC Member States represented by their respective Heads of State and Government or duly authorised representatives to spearhead economic integration of Southern Africa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom