Bungeni: Huyu mwenyekiti vipi?

Bungeni: Huyu mwenyekiti vipi?

thatha

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2011
Posts
15,340
Reaction score
1,573
Huyu mwenyekiti wa bunge jioni hii vipi, kalewa au ndiyo ukereketwa?
 
<p><strong></strong>Wanajamvi huyu Mwenyekiti wa Bunge wa Kipindi cha jioni ananichefua sanaaaaa! Natilia shaka uwezo wake wa kitaaluma na hata upeo wake. Naye ni dhaifu tu au Mzembe?? Naomba mwenye CV yake atuwekee angalau tujiridhishe. Hana tofauti na Naibu Spika huyu</p>
 
Uwezo wa kutatua matatizo ni mdogo sana kwake!!!!
 
Sijui Wamemuokota Wapi! Labda Ni Mfagiaji au mzibua vyoo Hapo bungeni, bi kiroboto kaamua kumpa nafasi.
 

Funguka, si kila anaangalia TV saa hizi...

Iko hivi Mh.Joseph mbilinyi ALIKUWA ANAONGELEA ISSUE YA KUTEKWA KWA DK.ULIMBOKA alitoa mfano wa tuhuma zinazomkabili rais wa Sudan kuhusu ukiukwaji wa haki za binaadamu,kwamba,hakutumia jeshi LA SUDANI bali alitumia janjaweedi ,na issue ya Ulimboka jeshi la TANZANIA HUENDA HALIHUSIKI bali ni watu wenye silaha mithili ya janjaweedi.
mwenyekiti akaaza...ETI, mbilinyi amesema janjaweedi wapo Tanzania na ndo wamemteka Dk. ULIMBOKA......Hivyo afute kauli..LISSU akaomba kutoa taarifa...akakatawaliwa.....ilikuwa kero kama vile mwenyekiti kalewa.
 

Iko hivi Mh.Joseph mbilinyi ALIKUWA ANAONGELEA ISSUE YA KUTEKWA KWA DK.ULIMBOKA alitoa mfano wa tuhuma zinazomkabili rais wa Sudan kuhusu ukiukwaji wa haki za binaadamu,kwamba,hakutumia jeshi LA SUDANI bali alitumia janjaweedi ,na issue ya Ulimboka jeshi la TANZANIA HUENDA HALIHUSIKI bali ni watu wenye silaha mithili ya janjaweedi.
mwenyekiti akaaza...ETI, mbilinyi amesema janjaweedi wapo Tanzania na ndo wamemteka Dk. ULIMBOKA......Hivyo afute kauli..LISSU akaomba kutoa taarifa...akakatawaliwa.....ilikuwa kero kama vile mwenyekiti kalewa.

Nashukuru mkuu, nimeona posti nyingine kama hii na nimeelewa...
 
Sylvester Mabumba is the most stupid chairperson of the tenth house of parliament.
 
<p><strong></strong>Wanajamvi huyu Mwenyekiti wa Bunge wa Kipindi cha jioni ananichefua sanaaaaa! Natilia shaka uwezo wake wa kitaaluma na hata upeo wake. Naye ni dhaifu tu au Mzembe?? Naomba mwenye CV yake atuwekee angalau tujiridhishe. Hana tofauti na Naibu Spika huyu</p>

Yaani amenikera ile mbaya
 
Nadhani amechanganyikiwa.Ila amechapia sana.
 
Namchukia kama ninavyochukia kukanyaga kinyesi
 
<p><strong></strong>Wanajamvi huyu Mwenyekiti wa Bunge wa Kipindi cha jioni ananichefua sanaaaaa! Natilia shaka uwezo wake wa kitaaluma na hata upeo wake. Naye ni dhaifu tu au Mzembe?? Naomba mwenye CV yake atuwekee angalau tujiridhishe. Hana tofauti na Naibu Spika huyu</p>

Huyu ndio anafaa kwa binge hili , hongera sana mwenyekiti.
 
Back
Top Bottom