Wakuu; Kupitia tbc. Mh. Abood wa jimbo la morogoro ameonekana akiongea na simu yake ya mkono ndani ya ukumbi wa bunge... kwa kujificha. Wakati bunge linaendelea . Wakuu hii imekaaje aise!
Ni kosa kubwa sana la utovu wa adabu!... ushahidi huo upelekwe kwa Spika mara moja..Wakuu; Kupitia tbc. Mh. Abood wa jimbo la morogoro ameonekana akiongea na simu yake ya mkono ndani ya ukumbi wa bunge... kwa kujificha. Wakati bunge linaendelea . Wakuu hii imekaaje aise!
Wakuu; Kupitia tbc. Mh. Abood wa jimbo la morogoro ameonekana akiongea na simu yake ya mkono ndani ya ukumbi wa bunge... kwa kujificha. Wakati bunge linaendelea . Wakuu hii imekaaje aise!
Mh, inamaana biashara inafanywa hadi ndani ya ukumbi wa bunge?
Wakuu; Kupitia tbc. Mh. Abood wa jimbo la morogoro ameonekana akiongea na simu yake ya mkono ndani ya ukumbi wa bunge... kwa kujificha. Wakati bunge linaendelea . Wakuu hii imekaaje aise!
Kama ndivyo basi aache Bunge akafanye Biashara zake,Huyo ni mfanyabiashara na mawasiliano ya simu ni muhimu sana kwake bila kujali yuko mahali gani.