Nina wasiwasi na mfumo wa Ubongo wa huyu anayejiita Mchungaji...
Kama bunge batili inamaana, wajumbe ni batili; pamoja na yeye na posho zote ni batili.
Amefata nini dodoma??
Nina wasiwasi na mfumo wa Ubongo wa huyu anayejiita Mchungaji...
Kama bunge batili inamaana, wajumbe ni batili; pamoja na yeye na posho zote ni batili.
Amefata nini dodoma??
kitu gani kinachomsumbua tuambie sasa hili tujue mkuu
sasa ukikaa nacho nani atatumbia
mtoto mdogo kusimulia ya mtikila..... kalenga lini umetoka kima weweMtikila anasumbuliwa na kitu fulani siku nitawaambia hapa hapa jf.