VAPS
JF-Expert Member
- Jul 10, 2012
- 5,610
- 13,160
Kufuatia ushindi wa kishindo na mtazamo wadau wa maendeleo, natarajia Wabunge wetu na wateule wa Rais kuonesha uzalendo kwa kukubali kupokea robo mshahara na akiba iende kusaidia pengo kufuatia vitisho wadau wa maendeleo.
Angalizo kwa Mpango mtaani kugumu sana asifikirie kutuongezea kodi.
Maendeleo hayana chama.
Angalizo kwa Mpango mtaani kugumu sana asifikirie kutuongezea kodi.
Maendeleo hayana chama.