Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,521
- 96,267
Kupitia bunge letu tumeshuhudia mengi yakitokea pale mjengoni.
Hasa baada ya wanaharakati wa Kenya kukamatwa na kurudishwa makwao.
Wabunge wengi wamechangia wengi wao kwa hoja za kujenga na kulinda mahusiano yetu na majirani zetu.
Lkn pia kuna waliokuwa wamechangia Kwa hisia hasi utadhani kabla ya hapo kulikuwa na ugomvi na Kenya.
Wasikilizeni wa Kenya wanavyo tuchukulia .
Hasa baada ya wanaharakati wa Kenya kukamatwa na kurudishwa makwao.
Wabunge wengi wamechangia wengi wao kwa hoja za kujenga na kulinda mahusiano yetu na majirani zetu.
Lkn pia kuna waliokuwa wamechangia Kwa hisia hasi utadhani kabla ya hapo kulikuwa na ugomvi na Kenya.
Wasikilizeni wa Kenya wanavyo tuchukulia .