Bunge lapitisha Bajeti Kuu ya Serikali kwa 95%

Bunge lapitisha Bajeti Kuu ya Serikali kwa 95%

Hongera Serikali na hongera Waziri wa Fedha,Sasa kazi ianze

--
Bunge la Tanzania leo limepitisha bajeti kuu ya Serikali kwa 95% ambayo ni sawa na kura 354 za Wabunge.Hii leo Wabunge waliokuwa bungeni ni 374, 18 hawakuwepo bungeni, ukimuondoa Spika, na kura za ndio ni 354, kura za hapana 0 na 20 ni kura zisizokuwa za uamuzi.
Hilo sio bunge la wananchi bali genge la machawa na mafisadi
 
Back
Top Bottom