Bunge laonya wakuu wa mikoa kuzalilisha watumishi wa umma

Kibo10

JF-Expert Member
Aug 20, 2013
11,277
8,859
Kamati ya bunge ya serekali za mitaa imesema.Swala la wakuu wa wilaya na mikoa kuweka watu ndani ovyo na kuwazalilisha sio utawala bora.Wameshauri wakuu hao wapewe semina elekezi maana wamekuwa wakiwazalilisha watumishi wa umma bila sababu.Wamemtolea mafano Makonda kwa kumzalilisha mama mmoja akiwa kwenye ziara ya mkoa wa Dar.
Source:ITV habari

-Tundu lissu alishayasema haya kwenye bunge la bajeti mwaka jana.Wabunge wa ccm wakamzomea."Na kuimba."Hapa kazi tu."Leo wamekubali.
 
Watumishi wengi sana wanaacha kazi. kazi zao ziheshimiwe na kutambuliwa basi, sio wote wezi.
 
Acheni wakuu Wa wilaya wapige kazi; Hamna mda Wa bra bra siasa na kupindisha maneno kumezidi, Tanzania anayoitaka magufuli asipoangalia miaka 10 itaisha utazani kakaa wiki moja
 
watumishi wengi sana wanaacha kazi. kazi zao ziheshimiwe na kutambuliwa basi, sio wote wezi.

Hapa ndio watz wengi wanadharauliwa na ccm.Wanakataa jambo.Baada y muda wanalishadadia kama jambo geni.Ovyo kabisa hawa watu.
 
Acheni wakuu Wa wilaya wapige kazi; Hamna mda Wa bra bra siasa na kupindisha maneno kumezidi, Tanzania anayoitaka magufuli asipoangalia miaka 10 itaisha utazani kakaa wiki moja

Nani kawabugudhi?Si Ccm wenzao?Nyie ndio vilaza wenyewe JPM aliwataja
 
Ni kufuata maelekezo toka kwa wateuzi wao - sipendi tabia hiyo ni vema vyama vya wafanyakazi vifutwe kwa kuwa havioneshi uwepo wake.
 
Na baadae mkuu ataenda kuwambia waendelee kuwatia ndani hata kama bunge limekemea. Maana muhimili wake una mzizi mkuu
 
Acheni wakuu Wa wilaya wapige kazi; Hamna mda Wa bra bra siasa na kupindisha maneno kumezidi, Tanzania anayoitaka magufuli asipoangalia miaka 10 itaisha utazani kakaa wiki moja
Kupiga kazi sio kuzalilisha hadharani na kutukana watumishi na kuwaweka ndani bila tarabu na kama unaaamini huo ndio upigaji kazi basi hakika una matatizo makubwa ya akilina elimu ndogo pia.
 
Kamati ya bunge ya serekali za mitaa imesema.Swala la wakuu wa wilaya na mikoa kuweka watu ndani ovyo na kuwazalilisha sio utawala bora.Wameshauri wakuu hao wapewe semina elekezi maana wamekuwa wakiwazalilisha watumishi wa umma bila sababu.Wamemtolea mafano Makonda kwa kumzalilisha mama mmoja akiwa kwenye ziara ya mkoa wa Dar.
Source:ITV habari

-Tundu lissu alishayasema haya kwenye bunge la bajeti mwaka jana.Wabunge wa ccm wakamzomea."Na kuimba."Hapa kazi tu."Leo wamekubali.
Wabunge wa ccm hawana hadhi yakuitwa wabunge ni basi tuu.99% nafikiri ni vichaa wanafikiri kwakutumia makalio
 
Kupiga kazi sio kuzalilisha hadharani na kutukana watumishi na kuwaweka ndani bila tarabu na kama unaaamini huo ndio upigaji kazi basi hakika una matatizo makubwa ya akilina elimu ndogo pia.
Kuna watu ni wapuuz kweli. Yaani kabisa mtu ana akili timamu anadhan utendaji ni kuweka mtu ndani. Watanzania kiukweli IQ zetu ziko too low!
 
Bunge la Tanzania halina nguvu hiyo kwa sasa. Waoga sana kuikosoa serikali na ndo maana hawako live.
 
Bra bra
Acheni wakuu Wa wilaya wapige kazi; Hamna mda Wa bra bra siasa na kupindisha maneno kumezidi, Tanzania anayoitaka magufuli asipoangalia miaka 10 itaisha utazani kakaa wiki moja
Bra bra-bla bla
 
Kupiga kazi sio kuzalilisha hadharani na kutukana watumishi na kuwaweka ndani bila tarabu na kama unaaamini huo ndio upigaji kazi basi hakika una matatizo makubwa ya akilina elimu ndogo pia.
Mkuu kuna watu hizi shule za kata hazijawasaidia,kuna viungo vingine vinatumika kufikiri badala ya ubongo.
 
Nusu ya wabunge wa cdm vilaza
Huja eleweka mkuu unacho maanisha ninini? Maana maana kwa kusema hivyo unawatukana wananchi wenzio maana mbuge hajiamulii yeye kuwa mbunge ,sasa kama ni kichaa basi wananchi wa majimbo yao pia ni vichaa ,sasa sijui kama upo sahihi mkuu nadhan unatakiwa kutumia akili yako zaidi sio utumwa wa akili na kuheshimu mawazo ya wenzio.
 
Kuna watu ni wapuuz kweli. Yaani kabisa mtu ana akili timamu anadhan utendaji ni kuweka mtu ndani. Watanzania kiukweli IQ zetu ziko too low!
Tena ni ndogo sana mkuu yaani hadi huwa najiuliza hivi na mataifa ya wenzetu na wana watu wasio jua kufikiri kama sisi au ni sisi tu tuna laana zetu maana kuna mambo mengine una jiuliza hivi huyu kiongozi ana akili kweli au ana matatizo ya akili ,

yaani akifanya huyu hili basi woote na wanataka wajaribu maana tangu imeingia slogan ya kutumbua basi kila mkuu wa mkoa na wilaya naye akawa anataka aonekane ametumbua hata kwa visivyo hitaji kutumbuliwa haya imekuja tena ya kuweka watumishi ndan basi woote wanataka na wao waonekane wameweka watu ndani tena wengine wasivyo na akili timamu wanajisifu kabisa eti nitawaweka ndani hadi mkome na wanafanya hayo baada ya kuita media ! Tanzania sijui tuna nini katika vichwa vyetu.

Hawa watu wanatakiwa kujua kuwa watumishi ni sehemu ya serikali maana wanatekeleza maagizo ya rais kama kuna mtu anaenda kinyume kuwe na utaratibu unao tambulika kisheria sio kuwatangaza hadharani na kuwatukana ,

ukuu wa mkoa na wilaya ni vyeo vya mpito wasijisahahu wakadhan wataishi katika mamlaka hiyo milele hawajui kuna walio acha hizo nafasi na wao wakazipata wawe na staha wanapo shuhulika na mambo ya watumishi na wananchi kwa ujumla , maswala ya kutaka kujionesha kuwa wana mamlaka hayana tija kwa maendeleo ya taifa zaid yatarudisha nyuma taifa.

Sifa za uongozi ni pamoja ma kuweza kutenganisha kati ya hisia na mihemko binafsi na cheo ulicho nacho, cha kushangaza wengi wanakosa sifa hizo kitu ambacho kina dhihirisha kabisa kuwa hawakuwa na sifa kabisa kupewa madaraka makubwa na ukishindwa kutenganisha hivyo vitu ni dhahir kutakuwa na maamuzi ya ajabu ajabu kila siku.
 
Back
Top Bottom