Spika wa Bunge kahairisha Bunge sababu wabunge wengi wanataka kuongea na wapiga kura wao , wengine wanataka kununua nguo lakini wengine hawajapata bado sehemu za kulala...hivyo Bunge limeahirishwa mpaka kesho saa tatu asubuhi.
===
NDUGAI: Waheshimiwa wabunge najua mmewasili kwenye siku kadhaa sasa lakini baada ya kuapa tu hapa, sasa mambo yote tutarekebisha yanayohusiana na utaratibu. Pia natambua kuwa waheshimiwa wabunge mnao wageni wengi, mnayo mambo mengi ya kurekebisha hapa mjini.
Wengine bado mambo ya makazi hayajakaa sawasawa, wengine simu za wajumbe bado nyingi sana...... Wajumbe bado wanafatilia, lazima upate muda wa kuwasiliana na wajumbe. Wabunge ni watu wenye shughuli nyingi sana kwa hiyo tumeona mchana wa leo tuwaachie muwe huru mrekebishe mambo yenu ili tuweze kukutana kesho saa tatu kwa shughuli za kesho kwa maana hiyo naahirisha shughuli za bunge mpaka kesho saa tatu.
Pia mapema Ndugai aliwakumbusha wabunge desturi ya bunge linapoanza baada ya kutoka kwenye uchaguzi, hotuba ya Rais kuhutubia bunge. Amewataka kuwahi mapema Ijumaa asubuhi kwa ajili ya kumsikiliza.
===
NDUGAI: Waheshimiwa wabunge najua mmewasili kwenye siku kadhaa sasa lakini baada ya kuapa tu hapa, sasa mambo yote tutarekebisha yanayohusiana na utaratibu. Pia natambua kuwa waheshimiwa wabunge mnao wageni wengi, mnayo mambo mengi ya kurekebisha hapa mjini.
Wengine bado mambo ya makazi hayajakaa sawasawa, wengine simu za wajumbe bado nyingi sana...... Wajumbe bado wanafatilia, lazima upate muda wa kuwasiliana na wajumbe. Wabunge ni watu wenye shughuli nyingi sana kwa hiyo tumeona mchana wa leo tuwaachie muwe huru mrekebishe mambo yenu ili tuweze kukutana kesho saa tatu kwa shughuli za kesho kwa maana hiyo naahirisha shughuli za bunge mpaka kesho saa tatu.
Pia mapema Ndugai aliwakumbusha wabunge desturi ya bunge linapoanza baada ya kutoka kwenye uchaguzi, hotuba ya Rais kuhutubia bunge. Amewataka kuwahi mapema Ijumaa asubuhi kwa ajili ya kumsikiliza.