hazole1
JF-Expert Member
- Jan 3, 2015
- 4,319
- 3,919
Mzee unazeeka bila point na jaribu kuangalia utawalithisha nini watoto wako lakini sio kila siku kuwafikiria wenzako mabaya labda tuseme wewe mzee unamchukia trump amekufanyia nini kibaya.Utaendelea kuwa chini ya mzungu mpk kufa.
Miafrika ya namna yako ni bora kufuga punda utapata Faida.
Babako anaitwa Nyani we unasema anapewa AKILI?
We mtoto sidhani km ni Mwafrika kamili, isijekuwa mchina alicheza faulo. Hebu jicheki kwapani. Vinyweleo vimesisimama au vimelala.?
Manake nyie wachanganya damu Ni balaa. Nyie ndio mliowakaribisha Wakoloni.
Kama trump amesema kama atakuwa rais waislam hataki waingie marekani sio mbaya hayo ni mawazo yake yeye lakini hivyo hivyo wapo ambao watamchagua. Na kama kuwachukia inatakiwa uwachukie walio mchagua. Swali linakuja je utaweza kumchukia mmarekani wakati kila kitu kakudhamini yeye? Mzee msiwe mnakaa kwenye vijiwe vya kahawa muwe mnadanganyana kijinga kijinga.
Na msifanye masihara na nchi za watu.
