Tulia yuko pale lutetea mslahi ya JPMHilo Bunge linaloongozwa na hao makada wa CCM huyo 'mchapa' bakora Ndugai na Naibu wake huyo mdada Tulia Ackson, namna wanavyoendesha huo mhimili wa Bunge, wamefanya vikao vya Bunge visiwe na tofauti yoyote na vikao vya NEC ya CCM!
Hilo Bunge linaloongozwa na hao makada wa CCM huyo 'mchapa' bakora Ndugai na Naibu wake huyo mdada Tulia Ackson, namna wanavyoendesha huo mhimili wa Bunge, wamefanya vikao vya Bunge visiwe na tofauti yoyote na vikao vya NEC ya CCM!
Yaani ccm wamelifanya bunge kuwa kama bunge la Burundi
Daah umeongea kwa uchungu, sijui kama wanasomaga haya maoni yetuHalina maana ya kuendelea kuwepo ni uhuni tu na ubabe wa kuzuia hoja muhimu zenye tija kwa Watanzania. Futa paragraph hii ondoa page hii. Hapa ulipoandika hivi badilisha uandike hivi. Ali mradi ni unafiki wa hali ya juu! Ya nini kuwa na vyama vya upinzani nchini kama hawana uhuru wa kuongea kile wanachotaka wao.
Kunyanyaswa na kuonewa bungeni kila kukicha. Matusi ya Wabunge wa MACCM dhidi ya wapinzani RUKHSA lakini wapinzani wao huitwa kwenye kamati ya maadili uchwara kupewa vitisho vya kufukuzwa bungeni.
Bunge halina maana ya kuendelea kuwepo na vyama vingi nchini ni bora vifutwe tu badala ya kuendeleza huu unafiki uliokithiri.
Daah umeongea kwa uchungu, sijui kama wanasomaga haya maoni yetu
Hapa,
Hapa hamna namna ni kumtoa tu 2020 huyo sizonje wao mana na wabunge wa ccm wanafanya hvo kumfurahisha hawataki challenge yoyote washakua kama huyo mtu wao
Umeongea ukweli kabisa..Tuchague wabunge wapinzani wengi idad yao ikizidi ya maccm basi hapo taifa litakuwa limekombolewa,na huu ndo mwarobaini wa matatizo mengi wananchi hawajui siri hii
Lissu ndyo uchwara
Mkuu sifa kuu ni KKK.Bunge limejaa wasomi wa darasa la saba