Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,466
- 113,543
Hakuna kitu kizuri kama appreciation kutambua uwezo wa baadhi ya watu. Nimefurahi hili wewe umelitambua leo, angalia mimi nilimtambua lini huyu bidada na nilisema nini juu yake!.Huyu bidada anajitambua sana. Nimetokea kumpenda sana kwa uwezo wake mkubwa wa kujenga hoja bungeni.
Mbunge wa CCM, Mhe. Esta Bulaya, Afanya Tukio la Kishujaa Mjini Dodoma!
Paskali