Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 21,838
- 38,729
Sijui,niambie maana yake. Au unadhani Marekani kuna Bunge Moja dhaifu kama la Ndugai?. Marekani kuna Mabunge mawili,Low House ama House of Representatives na Congress.Unajua maana ya congress?