Bunge la Katiba Kuahirishwa

Bunge la Katiba Kuahirishwa

na huo ndio mwisho wa 6 kisiasa, kashindwa kuchezesha timu vizuri kama no 6, na ni aibu kwa hao walioenda na kujitapa wakijua katiba ni kitabu kinachotungwa na mwandishi mmoja.
 
Habari zisizo rasmi kutoka Dodoma zinadai kuwa Bunge Maalum la Katiba limeahirishwa hadi hapo maridhiano kati ya makundi yanayokinzana yatakapopoatikana.

More details zinafuata

It's also called a logical fallacy.In a real debate you would have already lost.
 
na huo ndio mwisho wa 6 kisiasa, kashindwa kuchezesha timu vizuri kama no 6, na ni aibu kwa hao walioenda na kujitapa wakijua katiba ni kitabu kinachotungwa na mwandishi mmoja.

sitta ndoto za kuwa raisi ataishia kuusikia kwenye radio
 
CCM Waache wa rukeruke tu,2015 tutakutana kwenye sanduku la kura.
 
Ni waheshimiwa wananjaa sana na hasa wa CCM. Wengi wao wanavitambi rushwa.
 
Back
Top Bottom