Technician
JF-Expert Member
- Mar 30, 2010
- 841
- 224
Kwa mujibu wa mawazo yanayonijia kichwani kuna kila sababu za kuahirisha mjadala wa katiba mpya mpaka maridhiano yatapopatikana kati ya makundi mawili ya kisiasa yanayovutana TAKWA na UKAWA.
Sababu ninazoziona:
Sababu ninazoziona:
- Katiba ni muafaka wa kitaifa zaidi na si sheria wala akidi.
- Katiba ni ya wananchi wote wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania na si ya kundi moja.
- Najua Mh Rais anatafakara kwa kina na kuendelea kupata ushauri toka vyanzo mbalimbali vya makundi ya wananchi wenye maslahi tofauti tofauti kwenye jamii kuahirisha kikao kwa maslahi ya Taifa.Tumpe muda wa kutafakari.