VUTA-NKUVUTE
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,135
- 17,802
Waheshimiwa Wabunge,nawakaribisha kwenye mjadala wa Bunge letu la JF.Mada mbili ziko mezani kwangu: vipaumbele vyetu kama Taifa na Kero zetu kuu kama Taifa.Si mbaya Waheshimiwa mkatoa na michango yenu juu ya nini kifanyike kupanga ipasavyo vipaumbele vyetu na kumaliza kero zetu. Michango yenu ni muhimu kwakuwa itafikishwa moja kwa moja kwenye Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.Karibuni sana Waheshimiwa...