Imany John
JF-Expert Member
- Jul 30, 2011
- 2,930
- 1,165
Kutokana na mmoja wa wabunge wetu kufumaniwa kule singapore (singida) na kutaka kugeuzwa mshikaki na mgoni wake na kucharangwa kidogo na sime,
tutarajie maneno gani kutoka katika bunge letu tukufu jumatatu hii??
Bunge la chitchat linaketi,
Nawasilisha.
tutarajie maneno gani kutoka katika bunge letu tukufu jumatatu hii??
Bunge la chitchat linaketi,
Nawasilisha.