Bunge la bongo flava 2015

Bunge la bongo flava 2015

Joined
Jun 15, 2013
Posts
22
Reaction score
5
Baada Ya Muheshimiwa SUGU kuonyesha kwamba wanabongofleva wanaweza siasa kuna baadhi ya wasanii nao wanataka kuingia ulingoni kugombea ubunge kwenye uchaguzi mkuu hapo mwakani, wasanii hao ni MKOLONI jimbo la Tanga Mjini Kupitia CHADEMA, AFANDE SELE morogoro mjini CHADEMA na JUMA NATURE temeke CHADEMA, vile vile bado aijafahamika PROFESA JAY atagombea jimbo gani! kwani nae ana nia hiyo na ndo mana mwaka jana alijiunga CHADEMA na kukubidhiwa uanachama. nawaomba tujiandae na hotuba za kimichano zikiwa na vina na mizani ndani yake.
 
Hao wote ni watanzania ni ni haki yao kikatiba kama wewe ulivyo na haki hiyo, tatizo liko wapi???
 
kama wanakidhi viwango waacheni wagombee maana wanaojiita wasomi ni waoga
 
Back
Top Bottom