Kamakabuzi
JF-Expert Member
- Dec 3, 2007
- 2,861
- 1,302
"Napendekeza kufanya marekebisho ya Sheria ya Usalama Barabarani, Sura 168 ili kuongeza ukomo wa kiwango cha faini inayotozwa kwa kufanya makosa wakati wa uendeshaji gari barabarani kutoka Sh20, 000 hadi Sh50,000" alisema.
Nani msemakweli - maneno ya mdomoni ya waziri Mkulo au taarifa iliyoandikwa na yeye mwenyewe? Ina maana hakusoma kilichoandikwa; je achukuliwe hatua gani?
84. Mheshimiwa Spika, napendekeza kufanya marekebisho ya Sheria ya Usalama Barabarani, Sura, 168 ili kuongeza ukomo wa kiwango cha faini inayotozwa kwa kufanya makosa wakati wa uendeshaji gari barabarani (Traffic Notification Fee) kutoka shilingi 20,000 hadi shilingi 300,000.