Bunge la bajeti 2011/2012 na yatokanayo

Naona polisi wamepewa ulaji mwingine maana watakuwa wanakubambikia wakijua Tshs 50,000.00 ni nyingi hivyo ni lazima utafungua mlango mwingine ambao ni kuomba msamahama kwa kutoa rushwa.
 
Huu ni usanii wa serikali tunataka bajeti itakayozingatia maisha ya mwananchi kwa kupunguza au kufuta kodi viwandani ili wananchi wasipandishiwe bei za bidhaa.pia gharama za umeme zipunguzwe
 
Nilijua tu polisi saizi watakuwa wamepewa rungu lingine la kujinufaisha kupitia rushwa, Tshs 50,000.00 ni nyingi sana hivyo wito wangu kwa madereva kufuata sheria za barabarani na kuwa mbishi endapo kosa hujalifanya ila unataka kubambikiwa tena wala msiogope polisi ukikomaa sana utaasikia tufamiane kwani wewe unafanya wapi. Wewe mwambie mimi ni hakimu utaona jinsi atavyonywea, hawezi kukudai kitambulisho lakini kumbuka ni lazima ufaninie fanie na unachodanyanya kimtindo tehe tehe tehe tehe.
Hio ni mbinu za msituni bajameni mpo?
 
Elimu bure inawezekana sema hilo ccm hawawezi kwa kuogopa kuwa wataambiwa ni sera ya chadema, embu nambie chadema watafanyaje elimu bure wakati hawaendeshi seikali..?
Tehe teh teh......Kwani bajeti yenu lazima iwe trilion 12? inaweza kuwa trilion 18 si mnasema kuna vyanzo mbadala na matumizi yasiyo ya lazima? na mliahidi elimu bure mwaka wa kwanza wa utawala?
Huu ndiyo wakati muafaka mngetumwagia shule jinsi hii nchi inavyotakiwa iende,ningerudisha kadi yangu ya CCM.
 
Mkuu kutembea na kadi ya magamba mfukoni ni sawa na kutembea na laana kichwani itupe man haina tija hiyo....jiulize kama mwaka 2000 mchele ulikuwa kilo shilingi 600 na mshahara ulikuwa 120.000 haya leo mchele 1700 na mshahara 150.000 kuna maisha bora hapo..? kama una familia utanielewa mkuu inakula kwetu sana mpaka imefikia mahali walimu wanachangisha rambirambi za uongo kwa wanafunzi ili wajikimu
Elimu bure inawezekana sema hilo ccm hawawezi kwa kuogopa kuwa wataambiwa ni sera ya chadema, embu nambie chadema watafanyaje elimu bure wakati hawaendeshi seikali..?
 
Elimu bure inawezekana sema hilo ccm hawawezi kwa kuogopa kuwa wataambiwa ni sera ya chadema, embu nambie chadema watafanyaje elimu bure wakati hawaendeshi seikali..?
Hujanielewa,bajeti kivuli inatolewa na mbunge wa CDM.
Hivyo basi ,nilitegemea atoe bajeti kulingana na ilani ya uchaguzi,kutokana na jinsi walivyosema kwenye kampeni,elimu bure!
Other than that,ni uhuni tuu!!!
 
Mkuu kutembea na kadi ya magamba mfukoni ni sawa na kutembea na laana kichwani itupe man haina tija hiyo....jiulize kama mwaka 2000 mchele ulikuwa kilo shilingi 600 na mshahara ulikuwa 120.000 haya leo mchele 1700 na mshahara 150.000 kuna maisha bora hapo..? kama una familia utanielewa mkuu inakula kwetu sana mpaka imefikia mahali walimu wanachangisha rambirambi za uongo kwa wanafunzi ili wajikimu
Tehe teh teh......Kwani bajeti yenu lazima iwe trilion 12? inaweza kuwa trilion 18 si mnasema kuna vyanzo mbadala na matumizi yasiyo ya lazima? na mliahidi elimu bure mwaka wa kwanza wa utawala?
Huu ndiyo wakati muafaka mngetumwagia shule jinsi hii nchi inavyotakiwa iende,ningerudisha kadi yangu ya CCM.
 
Hahahaha nimekuelewa mkuu ila hata kama ingekuwa hivyo ccm wasingeweza ku paste hilo la elimu bure
Hujanielewa,bajeti kivuli inatolewa na mbunge wa CDM.
Hivyo basi ,nilitegemea atoe bajeti kulingana na ilani ya uchaguzi,kutokana na jinsi walivyosema kwenye kampeni,elimu bure!
Other than that,ni uhuni tuu!!!
 
Mkuu kutembea na kadi ya magamba mfukoni ni sawa na kutembea na laana kichwani itupe man haina tija hiyo....jiulize kama mwaka 2000 mchele ulikuwa kilo shilingi 600 na mshahara ulikuwa 120.000 haya leo mchele 1700 na mshahara 150.000 kuna maisha bora hapo..? kama una familia utanielewa mkuu inakula kwetu sana mpaka imefikia mahali walimu wanachangisha rambirambi za uongo kwa wanafunzi ili wajikimu
Nina kadi ya yanga pia,
Sipendi uongozi uliopo yanga,na timu haituwakilishi kimataifa.....ushirikina tu!
Ila siwezi kuhamia simba au mtibwa.....nimezaliwa na kukulia Temeke.
 
MISAADA NA MIKOPO:

57. Mheshimiwa Spika
, katika bajeti ya mwaka 2011/12, Serikali inatarajia kupokea jumla ya misaada na mikopo yenye masharti nafuu kiasi cha shilingi bilioni 3,923.6, ikilinganishwa na kiasi cha shilingi bilioni 3,274.6 kwa mwaka 2010/11. Hili ni ongezeko la shilingi bilioni 648.99, sawa na asilimia 20, ukilinganisha na kiwango cha mwaka 2010/11.

Kati ya fedha hizo,
shilingi bilioni 869.4 ni misaada na mikopo ya kibajeti na shilingi bilioni 3,054.1 ni misaada na mikopo kwa ajili ya miradi ya maendeleo ikijumuisha mifuko ya kisekta.


58. Mheshimiwa Spika, napenda kuwatambua na kuwashukuru washirika wetu wa maendeleo ambao wameendelea kutoa misaada na mikopo kwa ajili ya maendeleo ya nchi yetu licha ya nchi zao kuathirika na msukosuko wa uchumi Duniani.

Wahisani hao ni: Uingereza, Denmark, Uholanzi, Ubelgiji, Canada, China, Finland, Ufaransa, Ujerumani, Ireland, Italia, Japani, Korea ya Kusini, Norway, Sweden, Uswisi, Marekani, India, Benki ya Dunia, Benki ya Maendeleo ya Afrika, BADEA, Umoja wa Ulaya, Global Fund, Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF), Kuwait Fund, Nordic Fund, Opec Fund, Saudi Fund, na Mashirika ya Umoja wa Mataifa. Wote tunawashukuru sana kwa michango yao.


Hivi hii mikopo kutoka kwa wahisani itaisha lini? Nchi inaendeshwa kwa mikopo? Na haya madeni yatalipwa lini, hali ya nchi kuondokana na umasikini sio leo wala kesho mtawala huyu atapita na hata mwingine atakayekuja atakwambia analipa madeni yaliyoachwa nyuma.

Duh kwakweli sijui tunapoelekea. tutategemea hadi lini fedha kutoka kwa wahisani kuchangia bajeti yetu tena kwa nusu nzima ya bajeti?


Bajeti ya maendeleo kutegemea wahisani hii ni hatari kwa taifa serikali inatakiwa itafute vyanzo vingine vya mapato kwa ajili ya maendeleo.

 
Naona polisi wamepewa ulaji mwingine maana watakuwa wanakubambikia wakijua Tshs 50,000.00 ni nyingi hivyo ni lazima utafungua mlango mwingine ambao ni kuomba msamahama kwa kutoa rushwa.

Nasikia kwa sasa badala ya kuipa serikali 20,000/; unampa traffic police 5,000/. Kwa maana hiyo ukiangalia uwiano na 50,000/ basi traffic police atapata 12,500/. Hivyo ni kumfaidisha traffic police. Labda uboreshaji wa maslahi halali ya polisi kama walivyopendekeza kupata msamaha wa kodi kama wanavyopata JWTZ serikali itapata hizo 50,000/ tena nying kwani madereva Tanzania ni wachache sana kwa maana wengi wa madereva hawajui sheria za barabarani.

Mfano, mida ya asubuhi barabara ya mbezi chini karibu na roundabout ya Kawe au makao makuu ya JKT magari yanayo kwenda mjini hutumia na njia ya kulia kwa umbali kama wa kilimeta moja (kutoka pale Executive pub), ukichukua kila gari lina wastani wa urefu wa mita 3 na ku-cover nafasi ya barabara mita 4 basi unapata magari 250 yamevunja sheria; sasa magari 250 kwa saa moja mara 50,000 serikali itapata sh. 12.5 million au traffic police kupata shs. 3.1 million Mind you hii ni hesabu ya haraka haraka kwa saa moja katika kipande kifupi cha barabara moja tu.
 
Naona polisi wamepewa ulaji mwingine maana watakuwa wanakubambikia wakijua Tshs 50,000.00 ni nyingi hivyo ni lazima utafungua mlango mwingine ambao ni kuomba msamahama kwa kutoa rushwa.

yah ni kweli polisi wataenjoy,lakini magazet ya wiki hii yameripot kuwa miongoni mwa madereva wanaoongoza kuvunja sheria barabarani ni MADEREVA WA MAGARI YA VGOGO WA SERIKALINI,hasa wanaowaendesha vigogo
 
tehe tehe tehe mkuu mtu huwa haulizwi habari za unakokwenda bali huachwa aende kwanza na akirudi ndio huulizwa habari za utokako...ukisharudi nishtue nikujulie hali mkuu za huko ulikotoka lol
Nina kadi ya yanga pia,
Sipendi uongozi uliopo yanga,na timu haituwakilishi kimataifa.....ushirikina tu!
Ila siwezi kuhamia simba au mtibwa.....nimezaliwa na kukulia Temeke.
 
cjui ni namna gani na ni lini serikali itaangalia uhalisi wa maisha ya watanzania walio wengi katika bajeti suala la utendaji pia halimo hatsa kwa hico kiduchu bad kikubwa kinaishia mikononi mwa wachache,kuongeza faini za barabarani sio suluhisho la ajali zitokeazo au njia ya kuongeza pato la taifa bali ni kuwaenzi mtrafki pia waongeze viwango vya rushwa ,cjui cjui cjuti kuwa mtanzania bali najuta sana kuzaliwa tanzania.:majani7:
 
mh kwakwli inauma sana yani inauma, hivi tutakuwa watu wamadeni katika kuchangia budget ya nchi hii mpaka lini? Hali ya umasikini kuondoka kwa jinsi hii itakuwa ngumu hizo nipolojo za kisiasa tu!!! Lakini mwisho wa siku itajulikana, nchi imejaa rushwa kila kona, viongozi wavivu, viongozi wanajali maposho na maslahi yao tu nakushindwa kupunguza gape kati ya masikini na tajiri hii ni hatari kwa nchi ambayo inaendelea kama tanzania.
 
Shukrani mzee wa rula..ngoja nasi tuifanyie upembuzi yakinifu!
Natumai mwaka huu hakukuwa na bajeti mbili kama mwaka jana ( Ya wafadhili na sie wadanganyika)
 
Back
Top Bottom