You may wish to understand that sytems in themselves do not curb corruption. Do you want us to believe that currently there no systems? Should your allegations be true, then Tz is a jungle!! No No.
The other question you could be asking is: how many, for example, daladala drivers wlll pay fifty tzs? The possibility is that they will not afford and because they will not afford they will pay less, and because they will pay less the money will find their way in the pockets of law enforcers or the drivers will end in prison.
Prudence seems to dictate that, fine should be affordable, feel pinch and make the defaulter refrain from similar acts.
Most of us notice what the police
do..,,..
HOTUBA YA WAZIRI WA FEDHA, MHESHIMIWA MUSTAFA HAIDI MKULO (MB), AKIWASILISHA BUNGENI MAPENDEKEZO YA
SERIKALI KUHUSU MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI KWA MWAKA 2011/2012
UTANGULIZI:
1. Mheshimiwa Spika, naomba kutoa hoja kwamba Bunge lako Tukufu likubali kujadili na kupitisha makadirio ya mapato na
matumizi ya Serikali kwa mwaka wa fedha 2011/2012. Pamoja na hotuba hii, vipo vitabu vinne vinavyoelezea kwa kina takwimu
mbalimbali za Bajeti. Kitabu cha Kwanza kinahusu makisio ya mapato. Kitabu cha Pili kinaelezea makisio ya matumizi ya
kawaida kwa Wizara na Idara zinazojitegemea ambapo cha Tatu kinahusu makisio ya matumizi ya kawaida kwa Mikoa na
Mamlaka za Serikali za Mitaa na cha Nne kinaelezea makadirio ya matumizi ya maendeleo kwa Wizara, Idara zinazojitegemea,
Mikoa pamoja na Mamlaka za Serikali za Mitaa. Aidha, upo Muswada wa Sheria ya Fedha wa mwaka 2011 ambao ni sehemu
ya Bajeti hii.
2. Mheshimiwa Spika, awali ya yote napenda kumpongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Jakaya
Mrisho Kikwete kwa kuchaguliwa tena kuongoza kwa muhula wa 3 pili wa Serikali ya Awamu ya Nne. Aidha, ninamshukuru sana
Mheshimiwa Rais kwa imani kubwa aliyonayo kwangu kwa kunichagua kwa mara nyingine tena kuongoza Wizara kubwa na
nyeti, ninamuahidi kuwa sitamuangusha. Pia ninampongeza Dkt. Mohammed Gharib Billal kwa kuchaguliwa kuwa Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Vile vile, ninampongeza Mhe. Mizengo Kayanza Peter Pinda (Mb.) kwa
kuchaguliwa kuwa Mbunge na kuteuliwa tena na hatimaye kupitishwa na Waheshimiwa Wabunge kuwa Waziri Mkuu kwa
muhula wa pili wa Serikali ya Awamu ya Nne.
Hii ndiyo nakala halisi ya Bajeti aliyosoma waziri wa fedha na uchumi Mustapha Mkulo Bungeni Dodoma
Mfano wako siyo relevant kwani gharama za kusafiri kikazi hazikatwi kodi. Chukua mfano mwingine mfano wa cash transport allowance kwa ajili ya kwenda kazini na kurudi nyumbani. Aliye serikalini hatakatwa kodi lakini yule wa sekta binafsi atailipia kodi ya mapato pamoja na NSSF. Ni ubaguzi wa hali ya juu kuliko hata ule wa South Africa miaka ile
Mfano ni relevant kabisa. Hauna tofauti na huo ulioutoa wewe. Nimezungumzia posho ya kila siku ya kuhudhuria semina, warsha, mikutano nk. Sijazungumzia gharama za kusafiri kikazi. Hata sheria yenyewe ya kodi inazungumzia actual expenses are allowable deductions lakini posho (merely posho) lazima ikatwe kodi.
Yaani kama nawaona police wa salendar pale wanajificha kwenye miti wanasubiri upite na taa nyekundu wakurukie kati kati ya barabara....akikuweka kando anakuandikisha fine ya 50,000 kwa kitabu chake fake!!!!mkulo ulie tu zoote zitaenda bar na nyumba ndogo gap la bajeti utatembeza bakuli si tozo za baloon zetu!!!natamani niwe traffic ghafla!!na ili kupata u traffic ukiwa general duty police dau nalo laongezeka!!!hongereni 'maporisi'kwa kupewa deal la mwaka hili......ongezeni watoto wasio na malengo/mnaoshindwa kuwamudu....bar zote mnatawala ninyi...vimada kila mtaa!!!kisa wachache wavivu kufikiriaa aaahh hapana vyanzo vya mapato vimeisha tanzania!!!
Kwa uelewa wangu na toka nilipopata ufahamu wa bunge letu hakuna budget ambayo ilishawahi kupingwa ila ni kuponda kwa sana na mwisho wa siku wanaunga mkono asilimia 100. Hivyo basi japo kidogo hicho kilichopatikana, CHADEMA inabidi kupanga mbinu za kuendesha halmashauri zote zilizo chini yake ili wananchi waweze kuona nani anaweza kupewa nchi na akaipeleka rehemani maana hawa jamaa wemeweka pamba masikioni japo wanasikia kwa mbali ila hawaelewi wafanye nini na hapo ndipo pa kuchukulia ujiko kwa raia.
Anataka muda wa kujiandaa kuchakachua majibu ndio maana kashindwa kujibu, swali la nyongeza huja pale muulizaji anapokuwa hajarizika na majibu ya swali husika..
Eshacky
Nini maana ya swali la longeza ina maana muuliza swali hajaridhika na majibu ya waziri anataka ufafanuzi na swali la nyongeza always linakuwa jipya
Kwani si waziri angejibu tuu kuwa mchakato unaendelea kushughulikia hilo kama walivyozoea badala ya kusema swali ni jipya
Mkuu hata mimi nilikuwa mbishi kama wewe na mwenye mapenzi ya ccm kama wewe ila baada ya kujua mimi wala watoto wangu hawatafaidi matunda ya ccm bali ni machungu, chuki na dhihaka muda sio mrefu utakubali mkuu unless otherwise kama una interest Tehe tehe
hivi serikali haioni kama rushwa barabarani ni tatizo?, mbona wanaichochea?, makosa yenyewe ni ya kipuuzi half wanakomaa na kuongeza faini! Mi nadhani walitakiwa waangalie mfumo wote kabla ya kupayuka bungeni! Mfano kosa la kuendesha gari bila kufunga mkanda halitakiwi kulingana faini na kosa la kuendesha ukiwa umelewa!
Elf 20 yenyewe ilikua kubwa sana kwa baadhi ya makosa kama vile kukutwa gari haliwaki baadhi ya taa!
Hawajui ajali nyingi ni matokeo ya mambo mengi sana ambayo swala la faini ndogo halimo kabisa? Ajali ni matokeo ya rushwa katika utoaji wa leseni, ujenzi wa barabara na kwa askari barabarani!
tuombe Mungu atuepushe na upuuzi huu wa kukamuana badala ya kuneemeshana!
Hahahaha jamaa matumbo yatazidi kuwa makubwa tuu. Nilikwenda ubalozi wa Nigeria jtatu iliyopita nilikuwa na wife saa tunarudi tukasimamishwa na trafiki pale colloseum, trafiki janja yao ndogo tuu tukaweka gari pembeni trafiki na tumbo lake kuuubwa akaja mlangoni eti mkuu wewe ndo mlengwa hebu nipe leseni yako si akazunguka upande wa wa pili akakutana na wife bwana wife akamsalimia kama anamjua akatia salama lkn? unanikumbuka? trafiki akasita wapi mama tulionana wife akatia mwenge TRA umeshau ulikuja na mwenzio, trafiki aaargh nakujaga mara nyingi tu pale, wife akatia nipo pale upande wa branch manager trafiki kijasho kikamtoka akatia sawa mama unajua nakutana na watu wengi sana ntakuwa nimesahau akasema wife akasema karibu sana ofisini pale basi endelea na kazi yako trafiki akaona duh huu msala mtu ananijua mimi simjui ishakuwa nuksi akasema kaka basi nendeni nawashukuru kuwafahamu tutazidi kuonana haooooooo tukaondoka sina mbavuuuuuu tehetehe. ukipigwa mkono na trafiki kuwa na confidence tu wala hafanyi lolote
Hii ni dhihaka kubwa sana kwa taifa la wengi wasio watumishi, nanunua uraia kama ccm watakuwa madarakani mpaka 2014 maana wakifika ntaamini hata 2015 yatakuwa yale yale
Wakubwa wanakubali kuwa gharama za maisha zimekuwa juu na hivyo wamebuni mbinu ya kupunguza makali hayo kwa wao wenyewe, kwa hiyo wategeuza malipo yao mengi yawe kwenye category ya posho na hiyo kukwepa makato. Wananchi watabaki kuwa 'cash cow'.
Nimerudia mara mbili budget yetu kwa mwaka 2011/12. nimejiuliza sana mbona haijaonyesha kama serikali inategemea ongezeko la mapato kwenye madini ambayo kila mara raia wasio na hatia wamekuwa wanauwawa?
Hivi ndo MAISHA BORA kurudisha malipo ya leseni kwa wafanyabiashara wadogo ambayo yanawaongezea watanzania mizigo huku tukiwaacha wawekezaji wakiNEEEEEMEKA?????????
Kwa hili BUDGET hii siyo ya kumpunguzia makali ya maisha MTANZANIA.
nina miaka 40 ccp watanikubali kweli?
maana nimejaribu kuufikiria ubunge nikaona ni maji marefu.
mwenye namba ya mwema anitumie sasa hivi nijaribu kete ya mwisho kwani umri ndio unaenda hivyo.
kazi tz zipo mbili tu ubunge na sasa trafic
Mkuu hata mimi nilikuwa mbishi kama wewe na mwenye mapenzi ya ccm kama wewe ila baada ya kujua mimi wala watoto wangu hawatafaidi matunda ya ccm bali ni machungu, chuki na dhihaka muda sio mrefu utakubali mkuu unless otherwise kama una interest Tehe tehe
Waziri wa Fedha na Uchumi Mustafa Mkulo akinadi mkoba wa Bajeti
Bajeti ya Serikali 2011/2012 hii hapa
mpaka leo watu wanakunya kwenye
vichaka na ni 2011 bajeti munagawa nyinyi
na kuwawacha wanyonge wakiendeleya kutabika
serekali ya tanganyika huyu jamaa anahitaji
choo kama hichi wacheni kuiba pesa wapeni
wananchi na wao wawe na maisha mazuri
kama mulivyo nyinyi
watu wana picha zake badala ya faida yake
watu wana picha yake badala ya faida zake
watu kama sisi ndio wenye haki ya bajeti hiyo
iwafikiye watu kama hawa maana unaonyesha kuwa umefurahi
mpaka jino la mwisho maana ushajuwa chako ni ngapi ila
watu kama sisi hivi ndio viatu sasa na nyinyi habari hamuna
hili ndio daraja pesa zote munazo gawana ktk bajeti mumeshindwa
kuwajengeya madaraja ktk nchi
hichi ndio choo na bafu pia watu wanaoga humu humu bajeti
itafika lini kwa watu kama hawa nyinyi munaendeleya tu kugawana
wananchi pia wanataka kuwa na vyoo na bafu la kuogea kama haya
ambayo yamo ndani ya nyumba zenu mulizo jenga kwa jasho la
walipa kodi masikini Waziri wa Fedha na Uchumi, Mustafa Mkulo akiwaonesha wapigapicha na waandishi wa habari mkoba uliona nyaraka za Bajeti ya Fedha ya Serikali kwa mwaka 2011/2012 baada ya kuwasili katika viwanja vya Bunge mjini Dodoma leo ikiwa ni muda mfupi kabla ya kuingia Bungeni kusoma Bajeti hiyo.
umesahau ulipokuja kutuomba kura ukasema
utatujengea na tutakuwa na maisha mazuri vipi
mbona unatukana na bajeti haitufiki au ndio umepata
kura na sisi ndio tumeruka patupu maana hii ni miaka
mitano ya mwisho na sisi bado tunaishi kwenye vibanda
ulivyokuja kutuomba kura mpaka leo bado tumo humu humu
mpaka tunakuomba na bado unawambiya nchi za ulaya
tunaishi maisha mazuri na unashaga kama hujuwi kama tunalal na njaa
usiwaonyeshe wapiga picha waonyeshe wananchi wa tanganyika
ndio wanao uhitaji sio wapiga picha
Mkoaba wa Bajeti ya Serikali 2011/2012.
tumechoka kunywa maji machafu bajeti naije huku mara hii
bajeti..? bajeti..? bajeti..?
ndio ukubwa huwo mwanangu sukuma sukuma bajeti
sisi haitufiki wanakula wenye kwa wanyewe tu sukuma sukuma
labda mwaka huu bajeti ikija na mimi sitouza tena machungwa
nita nunuwa nyumba na dala dala
nyinyi pigeni picha mimi nasubiri bajeti ili na mimi
nipate pesa za kununuwa nguwo sina kitu msela
hatuna hata gari ya kutu bebeya matofali tunayotaka kujenge nyumba
mustafa mkulo bajeti ilete huku tuchibiwe misingi ya
kupitiya maji machafu na mataka taka
Haha ukiangalia hizi picha na hiyo budget yao basi hutokubali kama unaakili timamu,hahahhaha,dah,yaani mtu una nyumba ya udogo kijijini,hakuna hata hospital huko wala ambulance ikisha bado unaweka picha ya kikwete,ccm oyeeeee hahahhaha
Kodi hii inypendekezwa kusamehewa ni katika posho ambazo hulipwa kwa watumishi wa kadi za juu tu, hivyo mananchi wa kawaida hatanufaika na chochote. Ni heri wanekubali mapendekezo ya TUCTA kupunguza inacome tax ambayo inamgusu kail mtumishi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.