kbm
JF-Expert Member
- Oct 5, 2012
- 5,222
- 1,670
- Thread starter
- #21
Mimi nimekuwa nafatilia jambo ili kwa ukaribu sana, nilimsikia mbunge wa jimbo la Ubungo akisema "hatua zinazotakiwa kuchukuliwa na wafanyakazi na watanzania wengine ni kuwezesha RAIS wetu JK kuingilia kati kabla ya mkutano wa bunge kuanza Oktoba 31, ambayo ndo kesho! Je kuna hatua gani rais kafanya? Na tukumbuke kuwa yeye ndiye aliyeweka sahihi ili sheria kulipwa baada ya miaka 55 ianze kutumika.