kbm
JF-Expert Member
- Oct 5, 2012
- 5,222
- 1,670
Wafanyakazi na watanzania wote amka tufanye maombi, ni usiku wa manane sasa! Ili muswada wa sheria ya marekebisho ya sheria za mifuko ya hifadhi ya jamii ipelekwe bungeni katika mkutano wa bunge ambao utaanza kesho mjini Dodoma na kudumu kwa wiki mbili tu. Je Mh. Jaffo mbunge wa Kisarawe (ccm) atatetea wafanyakazi kwa kasi alioanza nayo au tayari ndiyo hivyo tena? Au ni Mh. Mnyika, mbunge wa jimbo la Ubungo? Au wafanyakazi asubiri mpaka miaka 55? Ndugu wadau naomba tuanze kufanya maombi yatakayotupatia majibu swala hili. Karibu...