Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 137,567
- 272,310
Siyo kwamba wanaendelea tu mkuu , kwani kuna shida gani ?Baraza la mawaziri linavunjwa lini???
Siyo kwamba wanaendelea tu mkuu , kwani kuna shida gani ?Baraza la mawaziri linavunjwa lini???
hakuna mwenye uwezo wa kujibu hii mkuu .Kwani katiba unasemaje juu ya kufuta baadhi ya kura zilizopigwa na mtu mmoja kwenye kituo kimoja na msimamizi mmoja.
hiii jamani sasa feki haihitaji kuwa na cheti tu cha sheria, mtu yule yule wakti ule ule, apige kura kwa wakti mmoja, muungano sawa zanzobar mbaya!! Upiuuzi jaji , jaji historia itakutsuta one day