Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,468
- 113,583
Wanabodi,
Baada ya vuta nikuvute ya wiki mbili sasa, hatimaye Bunge letu tukufu, leo litasimamisha shughuli zake zote za kawaida na kuijadili hoja ya dharura ya mgomo wa madaktari unaoendelea karibu nchi nzima!.
Mjadala huo, umefuatia Naibu Spika, Mhe. Job Ndugai, kuikubali hoja ya Mbunge wa Kigoma, Mhe. Peter Serukamba, akiwa ni mbunge wa 6 kuomba muongozo spika kwa jambo hilo hilo.
Japo mimi ni miongoni mwa tuliolaani udikiteta wa Job Ndugai, nilipomsikia jana, nakiri Mhe. Job Ndugai is better 100times than madame spika!.
Update:
Wanabodi,
Hata hivyo leo asubuhi, bunge lilisitisha shughuli zake zote na kuanza kwa taarifa ya spika kuhusu mgomo wa madaktari na kwa vile bunge limependekeza maamuzi makubwa ya ajabu, Spika amempigia simu rais Jakaya Kikwete na Waziri Mkuu Pinda muda wa usiku wa manane (bila kujali kama viongozi hao wamejipumzikia au la!), na kuwaeleza mapendekezo ya kamati hiyo ya bunge, hivyo I was very right!. Mengine yote yanafuatia kauli hiyo ya Spika!.
Hata hivyo, hoja yangu niliileta na kuiconfirm mimi mwenyewe kufuatia uzoefu wangu wa shughuli za bunge. Kwa vile huu mgomo wa madaktari ni dharura zaidi, kamati ya bunge imekamilisha kazi yake jana usiku nilitegemea hoja ya mgomo ndio ingetangulia na kufuatiwa na hoja ya marekebisho ya katiba, lakini sasa mambo yamekwenda vice versa, mjadala wa marekebisho ya katiba ndio umetangulia, hivyo shughuli badala ya kisimama leo, leo shughuli zinaendelea!. Hivyo nakiri kosa la kulazimisha mgomo wa madaktari kuwa ni dharura kihivyo kwa bunge letu.
Nimekubali makosa, nawaombeni minisamehe sana!.
Mtu mzima akishakiri kosa na kuomba msamaha, sio busara kuendelea kumshutumu, kwani wengine tunajifunza kwa makosa hata mara sabaini fii sabaa!.
Samahanini Sana!.
Pasco.
Baada ya vuta nikuvute ya wiki mbili sasa, hatimaye Bunge letu tukufu, leo litasimamisha shughuli zake zote za kawaida na kuijadili hoja ya dharura ya mgomo wa madaktari unaoendelea karibu nchi nzima!.
Mjadala huo, umefuatia Naibu Spika, Mhe. Job Ndugai, kuikubali hoja ya Mbunge wa Kigoma, Mhe. Peter Serukamba, akiwa ni mbunge wa 6 kuomba muongozo spika kwa jambo hilo hilo.
Japo mimi ni miongoni mwa tuliolaani udikiteta wa Job Ndugai, nilipomsikia jana, nakiri Mhe. Job Ndugai is better 100times than madame spika!.
Update:
Wanabodi,
Hata hivyo leo asubuhi, bunge lilisitisha shughuli zake zote na kuanza kwa taarifa ya spika kuhusu mgomo wa madaktari na kwa vile bunge limependekeza maamuzi makubwa ya ajabu, Spika amempigia simu rais Jakaya Kikwete na Waziri Mkuu Pinda muda wa usiku wa manane (bila kujali kama viongozi hao wamejipumzikia au la!), na kuwaeleza mapendekezo ya kamati hiyo ya bunge, hivyo I was very right!. Mengine yote yanafuatia kauli hiyo ya Spika!.
Hata hivyo, hoja yangu niliileta na kuiconfirm mimi mwenyewe kufuatia uzoefu wangu wa shughuli za bunge. Kwa vile huu mgomo wa madaktari ni dharura zaidi, kamati ya bunge imekamilisha kazi yake jana usiku nilitegemea hoja ya mgomo ndio ingetangulia na kufuatiwa na hoja ya marekebisho ya katiba, lakini sasa mambo yamekwenda vice versa, mjadala wa marekebisho ya katiba ndio umetangulia, hivyo shughuli badala ya kisimama leo, leo shughuli zinaendelea!. Hivyo nakiri kosa la kulazimisha mgomo wa madaktari kuwa ni dharura kihivyo kwa bunge letu.
Nimekubali makosa, nawaombeni minisamehe sana!.
Mtu mzima akishakiri kosa na kuomba msamaha, sio busara kuendelea kumshutumu, kwani wengine tunajifunza kwa makosa hata mara sabaini fii sabaa!.
Samahanini Sana!.
Pasco.