Bunge Kuendelea Mafichoni, Uwongo wa Magufuli/CCM

Bunge Kuendelea Mafichoni, Uwongo wa Magufuli/CCM

Bora lisirushwe papo kwani hicho ni kikao cha kazi watu wanabungua bongo. Siri ya bungua bongo mchangiaji husema chochote anachoona kinafaa kuwa suluhu. Mengine si mazuri kuja moja kwa moja kwa wananchi.
Pia chadema hutumia muda huo kuuza sura na kuyumbisha uamuzi kwani kwenye kamati wanakubari wakimurikwa kwenye kamera wanapinga michango yao. Sasa njia ni kuondoa kifaa kinachowapa uwendawazimu.
Siamini kama una ubongo
 
Mm nawashangaa sana ccm kipindi cha kampeni walikua wanahangaika kuwabeba watu kweye mafuso Na kuwapa hela juu ili wahudhulie mikutano yao lakini Leo hii wamewachagua wamewaona wananchi hawana maana tens ya kuangalia bunge wakati hao wananchi ndio walio wapeleka kule.

Hiyo ni sawa Na kusema umlipie mtoto wako ada harafu akuzie kuangalia mitahani yake.
Na Mimi nitajuaje kama hiyo ada niliyo toa inafanya kazi.
 
Kwamba Watanzania Wanakazi ya Kufanya au La sio Kazi yako Kuwapangia, Hata nchi zilizoendelea Kuna Luninga Maofisini, Waangalie nini ni Policy za Ofisi na sio Serikali iwapangie, Mwishoni Mtawapangia watu wale saa ngapi na walale saa ngapi wavae nini Nk
Haki ni kupata habari na sio kupata habari live...
 
Magufuli aliahidi kwenye kampeni hili swala la kodi.
Ccm ni chama la vitendo.
Ahadi zinatimizwa

PAYE from 11% to 9%.

Siyo kama chadema wanaahidi watateua mgombea mwadilifu alafu wanakuja kuchukua makapi ya ccm yenye tuhuma za ufisadi.!!!
 
Back
Top Bottom