oh karibu mheshimiwa mbunge. Natumai usingizi ulikuwa mzur oops maombi yalikuwa mazur. Tumejadili mambo kadhaa kwa sasa tunawasubiri mawazir waje kujibu maswali
mh.waziri wa mambo ya udini mila na utamduni jibu hoja kwanza kuhusu kuonekana hirizi mjengoni ya pili kuhusu mh.nanii binti yake nanii hii anaingiliwa uhuru wake wa kiutoto,yani wanamuwahisha kucheza ubaba na mama.majibu tafwadhali